Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Labda kamaanisha Msamaha wa Baba J unakuja Decemba 9
 
Sometimes kuna matamko mengine yanayotolewa na viongozi wetu huwa yanatia kichefuchefu....dady is coming, what do you mean....this is BS kabsa..tunaelewa kabsa sisi waTZ ni mabingwa wa kutafsiri,sasa hapo keshatafsiriwa kivingine ,huku nafasi yake kiserikali akiichafua
 
Anamaanisha asiogope kunamsamaha kutoka kwa baba ambao unaweza mrudisha uraiani....jamani ninaota kwa sauti msije mkaninukuu vibaya [emoji42][emoji42]
 
Inawezekana aliua kwa bahati mbaya,lakini jinsi Lulu alivyokuwa ana jibehave mahakamani wakati kesi inaendeleailikuwa ni dharau kwa mfumo wa mahakama
Pia kwa wapendwa wa Kanumba.labda kwa kuwa dady alimuahakikishia mahakama so lolote
 
Lulu lazma atetewe kwa nguvu zote na wenye akili, no mattter aliua au la alikuwa anajitetea asibakwe.....

Naungana na Makonda kumtetea Lulu, mtu asiye na hatia anafungwa miaka miwili... Shubamitty
Mtoto aliua mtu aliyekuwa akimbaka mara kwa mara!✍[emoji818]
 
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"

Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.

Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!

View attachment 630076

Sasa huo ujumbe ..Lulu atausomea wapi????....Bashite bhana....
 
  • Thanks
Reactions: bht
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"

Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.

Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!

View attachment 630076
ATAMTOA MKUU KWA USHAWISHI WA BASHITE,BASHITE AKISEMA LAZIMA HIVYO,SIZO HANA UJANJA KWA BASHITE,YEYE NDIYE Anaewajua waganga wanamsaidia sizo.
 
duh jamani wewe kama sio mara ya pili unaniambia basi ni mtu mwingine wa pili ananiambi a,acheni hizo bana,mi sio demu kwanza saa hii hapa mwanza kuna ka baridi nataka nikapige viroba vya empire nipate Yumani fesi nikapige papuchi ya kisukuma walau kibao kimoja
Kwa uandushi huu ndiyo umethubutisha pasipo shaka kuwa wewe ni dem
 
Back
Top Bottom