Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Wanafiki akihukumiwa mtu mwngne shda ila star kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na hamsini mkuuItapendeza zaidi.
Nmecheka[emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Au Tumfungulie Baraba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmh Hatari Sana Kumbe Watu kunasehemu Wakiguswa ni Full kuropokaWenye mtoto wanajijua kaka. Usikute mtu alibanwa na hisia hadi akashindwa kujizuia akajikuta kasema iliyokua siri
Hahaha 2years....Ongeza 900 Itapendeza JokesItapendeza zaidi.
hahhahahah unazingua ujuee[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Au Tumfungulie Baraba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]hahhahahah unazingua ujuee
Anatuma watu wasiojulikana.Anakuja kutengua maamuzi ya mahakama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili yako imekufaMange kasema, nyumbu wataunga mkoni
Hahahaaaa huyu ni faza mkuu hana maneno kabisa ni mtu mpole sanaEeeeeeehh Tusiaribu Uzi Wa Uyu Mzee Ila Nilitaka Kukwambia Ndiyo Uyu Sasa Mzee Wa Msoga
akili ndogo ni ndogo tu, pengine hujaelewa hata maana ya post unakimbilia kwa MangeMange kasema, nyumbu wataunga mkoni
Ah ah ah ah ah ah Mi Uyo Ni Mzee Wangu Kabisa Huwa Ananipa Nondo Za Maana About LifeHahahaaaa huyu ni faza mkuu hana maneno kabisa ni mtu mpole sana