Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui!Daddy is coming...kumtoa jela? Kuna haja ya kutamka hili sasa hivi now that we know hawa watu wawili wanarun show kadri wanavyojisikia wao na wake zao?
MAKAMU RAITHI KAFANYA YAKE.....HAUJAONA UKARIBU WA MAJAMAJEMAJI NA BASHITE?Miezi sita na siku moja toja Bashite apost huo ujumbe wake, hatimae Daddy amefanya yake.
Naomba kile kibao cha " Nina Baba yangu asiyeshindwa kamwe " kimuendee Lulu popote alipo.
Pia kile kibao cha " Utajiju " kilichoimbwa na Legendary wa Bongofleva Juma Nature kimuendee Mama yake Kanumba.
Acha Bashite ampore Dj Majey muuza unga demu wake [emoji23][emoji23]
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
daaahAtaweza kumsugua vizuri huyu mtoto maana kana ugwadu kweli kweli