Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."


Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

 
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alisema maneno hayo.

Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."

Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

Sijui kwanini watu wamekuwa wajinga namna hii hapa nchini kwa kushabikia mambo kama haya.
 
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."


Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

Huyu mjinga hajui kuwa barabara bora ni haki ya kila mwananchi.

Si zawadi kwa anayejipendekeza kwa viongozi.

Mwaka 2015 Mahakama Kuu ya Bombay India ilitoa hukumu kwamba barabara nzuri zisizo na mashimo ni haki ya uraia kwa kila mtu.

Mwanzoni mwa karne ya 20 Marekani kulikuwa na "The Good Roads Initiative" iliyotaka kuunganisha sehemu zote za vijijini kwa barabara nzuri.

Yani Makonda bado hajafika wenzetu walipokuwa miaka 100 iliyopita.

Hizi kauli za Makonda ni za mtu ambaye hajaelimika, analimbuka bado.
 
Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ujinga huo huo ndio ulitokea Kwa Sugu akiwa Mbeya.Hatutaki tena saizi tunatamba naTulia na SSH 👇👇
 
Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?🙆‍♂️🙆‍♂️

Mkuu incase you are not paying attention, hela zinatoka kwenye serikali ya CCM.

Lema I believe alikuwa anapiga debe lakini waliamua kumkazia ili wananchi waone hafanyi kazi.

Its the only explanation that makes sense!
 
Ujinga huo huo ndio ulitokea Kwa Sugu akiwa Mbeya.Hatutaki tena saizi tunatamba naTulia na SSH 👇👇

Nikuletee clips za Lema akiwa anaomba barabara kwenye jimbo lake?

Kipindi Lema akiwa mbunge, serikali na mawaziri ambao ndio walikuwa responsible na ku-execute na kugawa pesa za miradi walikuwa wanatokea Chadema au CCM?
 
Mkuu incase you are not paying attention, hela zinatoka kwenye serikali ya CCM.

Lema I believe alikuwa anapiga debe lakini waliamua kumkazia ili wananchi waone hafanyi kazi.

Its the only explanation that makes sense!
Sio kweli hata kidogo ,yeye aliendekeza siasa za uwanaharakati bungeni na kwenye mitandao hakupata muda wa kufuatialia mambo ya msingi aisee.Jitu zima linakesha mitanadona kulaani wakubwa zake mara watakufa na ujinga mwingine kama huo.SAD
 
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."

Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

Anajielewa mwenyewe anachobwabwaja na huku kilichoandikwa hapa!
 
Nikuletee clips za Lema akiwa anaomba barabara kwenye jimbo lake?

Kipindi Lema akiwa mbunge, serikali na mawaziri ambao ndio walikuwa responsible na ku-execute na kugawa pesa za miradi walikuwa wanatokea Chadema au CCM?
Anatakiwa aombe Kwa Chadema,anaomba Kwa CCM tena? 😂😂
 
Kamuulize aliyesema ukichagua upinzani huoati maendeleo. Siku nyingine punguza unafiki
Acha fujo huyo si alikua anaombea wenye mamlaka wafe ?hivi hata kama ungekuwa ni wewe ukafanya nini ?
 
Back
Top Bottom