Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a Makonda..kweli ni jasiri. Ni kweli Kuna mtu wanasemaga anacheleweshaga miradi Hadi Leo hamna stendiWakuu,
Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.
Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.
"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."
"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."
Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!
Sumbawanga jee?Lema alikuwaga mbunge kwa miaka kumi kumbe hakuweza piga debe kuhusu barabara za hili jiji letu namba mbili hapa nchini?🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hivi hujui kuwa huyu chizi hadi alipewe jina la nabiii 🙆♂️🙆♂️🙆
Kama hajengi Barabara, kwenye kampeni Huwa ananadi sera zipi?
Na sisi tusiwaone na yale manguo yenu ya TRA mnataka kodi kwenye maduka yote.Pelekeni shida zenu Chadema sio CCM
Naongezea hapo.Ndio maana nikasema ulitaka kufanya hivyo kwenye maendeleo uwe chama kimoja. Ukiwa vyama vingi peleka maendeleo kote na sio kwa chama chako tu. Ukifanya hivyo unavunja katiba .
Kodi tutakusanya Kwa sababu sie ndio tumepewa ridhaa ya kuunda Serikali.Na sisi tusiwaone na yale manguo yenu ya TRA mnataka kodi kwenye maduka yote.
PAYE kateni kwa wanachama wa CCM tu, CHADEMA na vyama vingine msiguse.
Kodi mnachukua kutoka kwa wananchi wa vyama vyote lakini maendeleo mnapeleka sehemu mnazojisikia nyie.
Ccm akili zenu mnazijua wenyewe!
I don't think you're an idiot to that extentUjinga huo huo ndio ulitokea Kwa Sugu akiwa Mbeya.Hatutaki tena saizi tunatamba naTulia na SSH 👇👇