Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wabunge wanajenga kutoka kwenye Serikali za Vyama Vyao ,Sasa hamna Serikali mnategemea nini? 😆😆

Kwa maana nyingine. CCM ndio inayojenga barabara na CCM hiyohiyo ndio inakusanya Kodi. So Rais alisema CCM ndio wanaiba makusanyo ya Kodi atakuwa sahihi.
 
hujaishi nao hao watu wanamambo ya kijinga sana kuzungukazunguka na kupinga miradi kama mabarambara wanatabia ya kuifuata wakati wa kutanua ili kumwaga lami wananza kuzungukazunguka wewe fikiria mtu anaotesha mgomba mpaka karibu na nguzo ya umeme hovyo sana

Ok mkuu nimeelewa
 
Wapinzani mkubwa wachache mtasimamia vipi uwajibikaji wa Serikali wakati hamna tool hiyo ambayo inawahitaji muwe wengi Ili mpate Nguvu ya maamuzi?

Mfano Serikali ikiwa inajibu tunatafuta hela miaka inaenda mtawafanyaje?

Hiyo ndio hasara ya kuchagua upande usio sahihi ambao hauwezi kuunda Serikali

Mkuu tofautisha Chama Cha siasa na mbunge kama status au kazi. Unapokuwa mbunge kinachoangaliwa ni status yako na sio chama unachotokea. Hivyo mbunge anahaki sawa za kutatuliwa kero za Jimbo lake. Kama nyie mnaangalia mbunge kutokana na chama chake basi ndio maana Kodi inaliwa na wajanja.
 
Mkuu tofautisha Chama Cha siasa na mbunge kama status au kazi. Unapokuwa mbunge kinachoangaliwa ni status yako na sio chama unachotokea. Hivyo mbunge anahaki sawa za kutatuliwa kero za Jimbo lake. Kama nyie mnaangalia mbunge kutokana na chama chake basi ndio maana Kodi inaliwa na wajanja.
Hakuna Cha kodi kuliwa na wajanja.

Hiyo hiyo status ya Mbunge ndio Ina play part.

Haiwezekani unadi sera X harafu mtekelezaji awe wa Chama Y,hakuna kitu kama hicho.

Ndio maana Sasa Serikali itakayoshinda itatatua Yale ambayo mgombea wake alikuwa anayanadi na Yale ya Mpinzani tutaacha Kwa sababu hayako kwenye ilani,tukifanya ujue ni bonus tuu 😂😂
 
Unachekesha Sana kama sio kusikitisha. Kwa hivyo Lema alikuwa na Ilani yake?. Aiseeh.
Ndio ,ilani ya Lema ni ya Chadema au Huwa unamuona na ilani ya CCM?

Saizi Mbunge ni Gambo ,ilani ya CCM inatekelezeka.

Wachague tena Chadema waone 😆😆
 
CCM iunde serikali halafu bado iisimamie hapo unadanganya.
Kwa nini isifanye hivyo? Kwani ikoje hata Sasa? Serikali ni ya chama na chama kikiona Serikali haifanyi sawa kinatoa Maelekezo wakibisha kinawatimua kwenye chama unapoteza nafasi ya kiserikali
 
Kwamba ili upate maendeleo lazima ushabikie na uwe mwanachama wa CCM

Kwamba ili uwe na amani uishi kama wanadamu wengine lazima uwe mwanachama wa CCM

Kuna makosa mengi ya kikauli kwa hawa viongozi wa CCM wanaongea wakidhani wanampaisha RAIS kumbe

kauli zao zinatengeneza shimo,sasa hii kauli na ile ya yule aliesema kura walizipiga,jumlisha na yule waziri wa habari alotumbuka, zinatofaut gani?

ifike hatua ccm viongozi wake wawekewe watu wakuwaandalia speech eneo lolote la public,alieweza kuongea point bila kusoma hii nchi ni NYERERE tu na JPM wengine wote waandikiwe isha wasome wakariri ndio wakaongeeee.
 
Hakuna Cha kodi kuliwa na wajanja.

Hiyo hiyo status ya Mbunge ndio Ina play part.

Haiwezekani unadi sera X harafu mtekelezaji awe wa Chama Y,hakuna kitu kama hicho.

Ndio maana Sasa Serikali itakayoshinda itatatua Yale ambayo mgombea wake alikuwa anayanadi na Yale ya Mpinzani tutaacha Kwa sababu hayako kwenye ilani,tukifanya ujue ni bonus tuu 😂😂

Unapigana na mwenyekiti wa CCM aliyesema makusanyo yanaingia kwenye mifuko ya wajanja?.

Ni hivi ukishakuwa mbunge unahaki sawa kwenye utekelezaji wa maendeleo Kama wabunge wengine. Ndio maana katiba inatambua status ya mbunge na sio chama chake.
 
Ujinga huo huo ndio ulitokea Kwa Sugu akiwa Mbeya.Hatutaki tena saizi tunatamba naTulia na SSH 👇👇
Siasa za kijinga, eti kupata maendeleo lazima ujipendekeze kwa kiongozi aliyeko ikulu. Huko vijijini ambako huwa wanashuritishwa kuichugua ccm mbona ndio wanaongoza kwa umasikini?
 
Kwamba ili upate maendeleo lazima ushabikie na uwe mwanachama wa CCM

Kwamba ili uwe na amani uishi kama wanadamu wengine lazima uwe mwanachama wa CCM

Kuna makosa mengi ya kikauli kwa hawa viongozi wa CCM wanaongea wakidhani wanampaisha RAIS kumbe

kauli zao zinatengeneza shimo,sasa hii kauli na ile ya yule aliesema kura walizipiga,jumlisha na yule waziri wa habari alotumbuka, zinatofaut gani?

ifike hatua ccm viongozi wake wawekewe watu wakuwaandalia speech eneo lolote la public,alieweza kuongea point bila kusoma hii nchi ni NYERERE tu na JPM wengine wote waandikiwe isha wasome wakariri ndio wakaongeeee.
Hoja ni maendeleo ya kiserikali sio maendeleo binafsi au hisia zako binafsi.

Ukitaka Barabara eneo lako unaweza ongeza Hadi mdomo ukachanika ila kama Mbunge ni WA CCM utaongea na kusikilizwa
 
Siasa za kijinga, eti kupata maendeleo lazima ujipendekeze kwa kiongozi aliyeko ikulu. Huko vijijini ambako huwa wanashuritishwa kuichugua ccm mbona ndio wanaongoza kwa umasikini?
Sio kujipendekeza Bali lazima uwe kwenye chama husika vinginevyo utapata tabu sana kama sio Kutengwa kabisa
 
Ndio ,ilani ya Lema ni ya Chadema au Huwa unamuona na ilani ya CCM?

Saizi Mbunge ni Gambo ,ilani ya CCM inatekelezeka.

Wachague tena Chadema waone 😆😆

Kwa maana nyingine maendeleo yanatolewa kibaguzi. Ndio unavysema na unaona ni fahari
 
Back
Top Bottom