Mwathirika
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 207
- 32
Kama hakusingiziwa amerudije?Ninachojiuliza muuza madawa anatakiwa kipewa heshima ipi?? Mnaopiga kelele bora mungoje atoke mmoja aseme anasingiziwa..!
Sijaona ata mmoja aliyejitokeza kusema kasingiziwa kabla ya kwenda baaadhi ya yao walitoa single zao wakirudi pia watoe single siyo kukaa kimya??
Nani amerudi kwa tambo kwamba kasingiziwa??
Intelligence system ipi? Ukishasema system tayari unahusisha utaratibu, kanuni na sheria!watu wanadhani intelligence system inafanya kazi blindly
Siyo Kila anayekwenda mahakamani ana kesi ya kujibu ni mpaka mahakama isikilize ushahidi ndipo hutoa maamuzi ya kuwapo kesi ya kujibu!Kilichopo kila anayesubiria kwenda mahakamani inamanisha ipo kesi ya kujibu..! Nataka nione anayedai hakukutwa na hatia aseme tujue kaonewa wapi
Well saidKupayuka kila siku mbele ya camera ni zaidi ya mbwa mwitu.
1/4Go makonda
Job well done