Paul Makonda Asema kuna Watu ni Kama Mbwa Mwitu

Kama hakusingiziwa amerudije?
 
Kilichopo kila anayesubiria kwenda mahakamani inamanisha ipo kesi ya kujibu..! Nataka nione anayedai hakukutwa na hatia aseme tujue kaonewa wapi
Siyo Kila anayekwenda mahakamani ana kesi ya kujibu ni mpaka mahakama isikilize ushahidi ndipo hutoa maamuzi ya kuwapo kesi ya kujibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…