Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Naamini hujafanya utafiti wa kutosha kwamba waponama la. Kwa hiyo huna haki ya kuhitimisha kuwa hawapo mawaziri wa namna hiyo.
Yeye kasema ni mawaziri wanaume na wanajuana (anawajua na wanamjua)
Subiri muda.
Kama unaweza ukamuamini Makonda jihesabu tu kuwa IQ yako ni ya D 2. Pole sana
 
Yaani aibu tupu. RC anawapa onyo Mawaziri tena kwa vitisho!! Ndiyo maana tunasema CCM na Serikali yake imeishiwa maarifa.

Hebu fikiria wakati Konda Boy anatoa upupu wake ule, Kuna Watendani Wakuu wa Chama na Serikali walimshangilia.
Ukoo wa panya usipodhibitiana
 
Kwa hilo kisiasa zetu halina ubaya, alitumia fursa za wajinga wajinga wanaojipendekeza hovyo.
 
“If you don’t stand for something, you’ll fall for anything” Bob Marley.

Hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kujaribu kufanya maamuzi ya kuwafurahisha watu, siku ukienda kinyume nao ni ugomvi. Hata uwape nini wana sahau mara moja kisa tu umeenda tofauti nao.

Raisi wa Tanzania atishiwi nyau ndani ya CCM wala serikalini ni swala la kuamua tu kuwatia adabu wasumbufu na maisha yataendelea kama kawaida tu.

Binafsi sio shabiki wa huyu mama kabisa Iła for the right reason, inakera zaidi kuona watu aliwaopa kila kitu bado hawaridhiki wanataka kumpangia maamuzi yake afanye kazi na nani.
 
Hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya, kila kitu kimepangwa nakutekelezwa ipasavyo.
 
Na hapo alipo Arusha ataondolewa na sababu itakuwa hawezi kufanya kazi na viongozi wenzake, kiherehere kikizidi ndo huwa kama hivyo, walioko chini yake wengine ni umri wa baba yake lkn anawananga kama watoto wake hata mdogo wako hauwezi kumpereka kama mbuzi, wakuu wa wilaya wataomba kupangiwa kazi nyingine au kuhamishwa, wakuu wa vitengo wataomba kuhama, tusubiri ....
 
Samia akicheka na kima atavuna mabua, Bashite ni ngedere aliyeshindikana
 
Jitahidi uwe Chawa wa CCM ila usiwe Chawa wa Makonda

Safari ya siasa inahitaji weredi wa Hali ya huu play smart Lucas

Unapambana Sana ila just be smart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…