Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Anaruhusiwa.

Uislam wa baada ya Mtume Muhammad ndiyo ulikuja kufunguwa minyororo ya mwanamke kama ulikuwa huelewi.
Asante kwa majibu maana nilikua 'najua' hairuhusiwi. Kwa sababu nchi nyingi za kiislam hakuna viongozi wanawake...
 
Waziri gani huyo asiyekuwa na adabu na bosi wake, au hiyo ni zigzag ambush kutoa kitisho cha kusambaratisha magenge hayo ya kufikirika? Hizi ni mbinu mufilisi za kizamani kufanya siasa za maji taka. Eti mawaziri watoe fedha ili rais atukanwe mitandaoni !, is it possible?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.

Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"

Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli

=========

Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

View attachment 2961639

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Mfungeni Makonda speed governor....
Nchi itachafuka..
Sidhani Kama aliongea Yale aliyoongea kwa bahati mbaya...
Alidhamiria kumdhalilisha Rais aisee...

Maana amutuambia tuende tukayaangalie hayo matusi.

Hali sio poa. Ntashangaa Sana Kama bado Makonda ataamka huru uraiani.
Haki Tena akutukanaye hakuchagulii tusi..
 
Ametoa siyo tu empty, useless threat, but a non realistic one as well. Atajuaje kuwa hilo analodai linafanywa limekoma hadi ifikapo J3 tarehe 15 April ili kwamba asiwataje majina?
 
Hajakubali Ukuu wa Mkoa, hata mimi ningekataa. Wamemtoa uraiani kwenda kuwa mwenezi kuiokoa a failing Samia administrion, ghafla wanamrusha Arusha makusudi akatulize Wamasai wanaonyang'anywa ardhi kufanywa vitalu vya Waarabu na akajibizane na Godbless Lema, heelll no.... kasema kwenye inaugural speech yake he ain't doing all that dumb crap.

Paul Makonda ni mkubwa kuliko Ukuu wa Mkoa, way bigger than kujibizana na mpinzani Arusha. And when the whole nation is watching Makonda hawezi kusimama kuongelea matundu ya vyoo vya wasichana Monduli...

He was the right hand man of Magufuli administration, he harbors state secrets, he knows where the bodies are burried. He has secrets the president doesn't. CDF Mabeyo alimwambia rais mpya msiba wa Magufuli ukiisha nitafute nianze kukupa state secrets. She had been kept in the dark all along, a deer in the headlight. Na juzi CDF Mabeyo karudia kusema Vice President Samia did not have the faintest clue the president was dying.... Walimwita Askofu Pengo kabla ya Vice President. Likewise, Mkuu wa Kamati ya Usalama D'Salaam, Paul Makonda, had better access to state secrets than the former Vice President, and he still does.

Na wakimfirigisa ndani ya CCM anaingia mtaani yeye kama yeye! Edward Lowassa 2 point O. It won't be the same this time around, yule Mzee alikuwa slowed down by Alzeihmers, kutembea mpaka ashikiliwe anasumbuliwa na Arthirist, couldn't read a speech to save his life, sijui Parkison's Desease, Multiple Sclerosis and all the rest of it. Paul Makonda has fresh legs and a chip on his shoulder, you don't wanna go down that road!
Naunga mkono hoja.
Makonda ni mkubwa kuliko ukuu wa Mkoa.
Na sidhani kama atakubali kutumika kuwanyanyasa Wamasai wanyonge watoke kwenye ardhi yao Takatifu. Maana hata hivyo alishaapa kusimama na wanyonge hata kwa gharama ya kupoteza cheo.
Namwamini Makonda ni mtu wa kusimamia kauli zake no matter what!
 
Naunga mkono hoja.
Makonda ni mkubwa kuliko ukuu wa Mkoa.
Na sidhani kama atakubali kutumika kuwanyanyasa Wamasai wanyonge watoke kwenye ardhi yao Takatifu. Maana hata hivyo alishaapa kusimama na wanyonge hata kwa gharama ya kupoteza cheo.
Namwamini Makonda ni mtu wa kusimamia kauli zake no matter what!
Makonda atakuja kufanya wonders !
Na huenda akaiponya hii Nchi kutoka kwenye ule ukwapuzi unaoendelea kila kona !
Siasa sio Uadui !
Ningefurahi kuona before I die wale waliotudharau wakisulubiwa one day !
🙏🙏🙏🇹🇿
 
Huyu jamaa Kwan Hana wazaz au washauri? Alipaswa kujifunza na kutulia zake kimya hicho anachokifanya kinatuharibia sana, mtu umeshavutwa jikoni kwenye minofu badala utulie ule vitu unaendelea kuwapivia watu kelele.
 
Huyu jamaa Kwan Hana wazaz au washauri? Alipaswa kujifunza na kutulia zake kimya hicho anachokifanya kinatuharibia sana, mtu umeshavutwa jikoni kwenye minofu badala utulie ule vitu unaendelea kuwapivia watu kelele.
Ana ndoto kubwa huyu jamaa !
Na akizichanga karata zake vizuri atatimiza ndoto zake. !
Mtaji wa mwanasiasa ni kuwa na sapoti ya watu wengi !
Mtaji huo jamaa anao!
Anajua kusoma alama za nyakati. !

Ngoja Tusubiri tuone !
 
Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette.

Kupata uwaziri ndiyo ndoto ya wabunge wengi baada ya uchaguzi. Rais Samia amekupa Uwaziri, unaanzaje kulipa watu wamtukane mtu alikupa Uwaziri ambayo ni privilege adimu?

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Ukweli ndio huo asipoangalia mama atamuweka katika hatari ya kutoamiwa
 
Back
Top Bottom