Paul Makonda Awabubujisha watu machozi ya furaha utafikiri wamepigwa na mabomu ya machozi

Paul Makonda Awabubujisha watu machozi ya furaha utafikiri wamepigwa na mabomu ya machozi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu watanzania,

Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara nyingine tena atikisa ,atetemesha,Awabubujisha watu Machozi utafikiri watu waliopigwa bomu la machozi katika chumba walichokuwa wamejificha.

Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kwa hakika huyu Mtu Siyo wa Kawaida ,Ni Mtu na Nusu,Ni mtu anayependwa na watanzania kwelikweli. Anaongoza mkoa wa Arusha lakini wananchi na watanzania wanamfuatilia habari zake kila uchao. Nimeshuhudia watu wakiwa na furaha kubwa na kushangilia utafikiri wana ndoa waliopata mtoto baada ya kukaa miaka kumi bila kupata Mtoto.

Unaweza ukawa na chuki binafsi na Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda lakini utakubali ukweli kuwa huyu Mwamba anakubalika na kupendwa sana sana na watanzania. Hiyo ni kutokana na uchapakazi kazi wake,ujasiri wake katika kufanya maamuzi, kupambana na mtu yeyote yule awaye na cheo chochote kile na utajiri wa aina yoyote ile katika kutetea wanyonge,kusaidia watu wenye uhitaji na usikivu wake mkubwa kwa wanyonge na watu wa aina zote.

Mwamba Mwenyewe Makonda Ni mtu ambaye anapenda sana kuona wanyonge na watanzania maskini wanapata haki zao bila kuonewa.ndio sababu watu humiminika na kufurika katika mikutano yake utafikiri mchanga wa baharini.

Kama kuna mtu anamchukia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,basi afahamu kuwa hataweza kuzuia upendo mkubwa walionao watanzania wa maeneo mbalimbali kwa Mwamba huyu anayeendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.

Jiulize kwanini anakubalika sana na watanzania? Kwanini anafuatiliwa sana habari zake? Kwanini anaushawishi mkubwa sana kwa watanzania?kwanini anatabiriwi makubwa sana kiuongozi?

Jibu ni kuwa ni lazima tukubali wote kama Taifa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni kiongozi mchapa kazi,jasiri na mbunifu sana katika uongozi.Ni kiongozi ambaye akipewa nafasi hata kwa siku moja tu au majukumu ya siku moja tu anayafanya katika namna ambayo alama zake huwezi kuzifuta hata kwa kukwangua na jembe la mkono.

Niambie ni wapi Ambako Mwamba hajaacha Alama za kiuongozi mpaka alipofika hapo? Ni wapi ambako Mwamba hakumbukwi kuwa mahali hapa na katika nafasi hii alipita Mwanaume wa kazi Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda?

Mwisho niseme wazi kuwa kama kuna mtu anamuombea Mabaya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda,basi anajisumbua tu kwa sababu huyu Mwamba yupo na amefika hapo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu. Vita ambayo Mungu amempigania ni kubwa sana na ambayo kama siyo ulinzi wa Mungu na uwepo wa Mungu katika Maisha yake basi angekuwa amebaki historia tu hapa Duniani.lakini yupo hivyo alivyo kwa sababu Mungu ana makusudi maalumu na huyu Mwamba juu ya Ardhi ya Tanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Makonda arejea, akagua uwanja wa ndege Kisongo
 
CCM mbele kwa mbele.

20240319_163514.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hajadanganya ila DAB alikuwa haumwi chochote ni propaganda na staged event.Yule Dada wa US hajawahi kupiga watu fix ndo maana DAB kapata coverage ya online media ila mainstream media wameignore kabisa tukio hakuwekwa live.
 
Ndugu zangu watanzania,

Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara nyingine tena atikisa ,atetemesha,Awabubujisha watu Machozi utafikiri watu waliopigwa bomu la machozi katika chumba walichokuwa wamejificha.

Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kwa hakika huyu Mtu Siyo wa Kawaida ,Ni Mtu na Nusu,Ni mtu anayependwa na watanzania kwelikweli. Anaongoza mkoa wa Arusha lakini wananchi na watanzania wanamfuatilia habari zake kila uchao. Nimeshuhudia watu wakiwa na furaha kubwa na kushangilia utafikiri wana ndoa waliopata mtoto baada ya kukaa miaka kumi bila kupata Mtoto.

Unaweza ukawa na chuki binafsi na Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda lakini utakubali ukweli kuwa huyu Mwamba anakubalika na kupendwa sana sana na watanzania. Hiyo ni kutokana na uchapakazi kazi wake,ujasiri wake katika kufanya maamuzi, kupambana na mtu yeyote yule awaye na cheo chochote kile na utajiri wa aina yoyote ile katika kutetea wanyonge,kusaidia watu wenye uhitaji na usikivu wake mkubwa kwa wanyonge na watu wa aina zote.

Mwamba Mwenyewe Makonda Ni mtu ambaye anapenda sana kuona wanyonge na watanzania maskini wanapata haki zao bila kuonewa.ndio sababu watu humiminika na kufurika katika mikutano yake utafikiri mchanga wa baharini.

Kama kuna mtu anamchukia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,basi afahamu kuwa hataweza kuzuia upendo mkubwa walionao watanzania wa maeneo mbalimbali kwa Mwamba huyu anayeendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.

Jiulize kwanini anakubalika sana na watanzania? Kwanini anafuatiliwa sana habari zake? Kwanini anaushawishi mkubwa sana kwa watanzania?kwanini anatabiriwi makubwa sana kiuongozi?

Jibu ni kuwa ni lazima tukubali wote kama Taifa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni kiongozi mchapa kazi,jasiri na mbunifu sana katika uongozi.Ni kiongozi ambaye akipewa nafasi hata kwa siku moja tu au majukumu ya siku moja tu anayafanya katika namna ambayo alama zake huwezi kuzifuta hata kwa kukwangua na jembe la mkono.

Niambie ni wapi Ambako Mwamba hajaacha Alama za kiuongozi mpaka alipofika hapo? Ni wapi ambako Mwamba hakumbukwi kuwa mahali hapa na katika nafasi hii alipita Mwanaume wa kazi Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda?

Mwisho niseme wazi kuwa kama kuna mtu anamuombea Mabaya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda,basi anajisumbua tu kwa sababu huyu Mwamba yupo na amefika hapo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu. Vita ambayo Mungu amempigania ni kubwa sana na ambayo kama siyo ulinzi wa Mungu na uwepo wa Mungu katika Maisha yake basi angekuwa amebaki historia tu hapa Duniani.lakini yupo hivyo alivyo kwa sababu Mungu ana makusudi maalumu na huyu Mwamba juu ya Ardhi ya Tanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
HAPA UMEANZA TENA KUMRUDIA MAKONDA KAFULILA SI ATA.MIND?
 
Ndugu zangu watanzania,

Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara nyingine tena atikisa ,atetemesha,Awabubujisha watu Machozi utafikiri watu waliopigwa bomu la machozi katika chumba walichokuwa wamejificha.

Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kwa hakika huyu Mtu Siyo wa Kawaida ,Ni Mtu na Nusu,Ni mtu anayependwa na watanzania kwelikweli. Anaongoza mkoa wa Arusha lakini wananchi na watanzania wanamfuatilia habari zake kila uchao. Nimeshuhudia watu wakiwa na furaha kubwa na kushangilia utafikiri wana ndoa waliopata mtoto baada ya kukaa miaka kumi bila kupata Mtoto.

Unaweza ukawa na chuki binafsi na Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda lakini utakubali ukweli kuwa huyu Mwamba anakubalika na kupendwa sana sana na watanzania. Hiyo ni kutokana na uchapakazi kazi wake,ujasiri wake katika kufanya maamuzi, kupambana na mtu yeyote yule awaye na cheo chochote kile na utajiri wa aina yoyote ile katika kutetea wanyonge,kusaidia watu wenye uhitaji na usikivu wake mkubwa kwa wanyonge na watu wa aina zote.

Mwamba Mwenyewe Makonda Ni mtu ambaye anapenda sana kuona wanyonge na watanzania maskini wanapata haki zao bila kuonewa.ndio sababu watu humiminika na kufurika katika mikutano yake utafikiri mchanga wa baharini.

Kama kuna mtu anamchukia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,basi afahamu kuwa hataweza kuzuia upendo mkubwa walionao watanzania wa maeneo mbalimbali kwa Mwamba huyu anayeendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.

Jiulize kwanini anakubalika sana na watanzania? Kwanini anafuatiliwa sana habari zake? Kwanini anaushawishi mkubwa sana kwa watanzania?kwanini anatabiriwi makubwa sana kiuongozi?

Jibu ni kuwa ni lazima tukubali wote kama Taifa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni kiongozi mchapa kazi,jasiri na mbunifu sana katika uongozi.Ni kiongozi ambaye akipewa nafasi hata kwa siku moja tu au majukumu ya siku moja tu anayafanya katika namna ambayo alama zake huwezi kuzifuta hata kwa kukwangua na jembe la mkono.

Niambie ni wapi Ambako Mwamba hajaacha Alama za kiuongozi mpaka alipofika hapo? Ni wapi ambako Mwamba hakumbukwi kuwa mahali hapa na katika nafasi hii alipita Mwanaume wa kazi Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda?

Mwisho niseme wazi kuwa kama kuna mtu anamuombea Mabaya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda,basi anajisumbua tu kwa sababu huyu Mwamba yupo na amefika hapo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu. Vita ambayo Mungu amempigania ni kubwa sana na ambayo kama siyo ulinzi wa Mungu na uwepo wa Mungu katika Maisha yake basi angekuwa amebaki historia tu hapa Duniani.lakini yupo hivyo alivyo kwa sababu Mungu ana makusudi maalumu na huyu Mwamba juu ya Ardhi ya Tanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kumbe nae anabubujisha, nilidhan ni mama peke ake
 
Ndugu zangu watanzania,

Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara nyingine tena atikisa ,atetemesha,Awabubujisha watu Machozi utafikiri watu waliopigwa bomu la machozi katika chumba walichokuwa wamejificha.

Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kwa hakika huyu Mtu Siyo wa Kawaida ,Ni Mtu na Nusu,Ni mtu anayependwa na watanzania kwelikweli. Anaongoza mkoa wa Arusha lakini wananchi na watanzania wanamfuatilia habari zake kila uchao. Nimeshuhudia watu wakiwa na furaha kubwa na kushangilia utafikiri wana ndoa waliopata mtoto baada ya kukaa miaka kumi bila kupata Mtoto.

Unaweza ukawa na chuki binafsi na Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda lakini utakubali ukweli kuwa huyu Mwamba anakubalika na kupendwa sana sana na watanzania. Hiyo ni kutokana na uchapakazi kazi wake,ujasiri wake katika kufanya maamuzi, kupambana na mtu yeyote yule awaye na cheo chochote kile na utajiri wa aina yoyote ile katika kutetea wanyonge,kusaidia watu wenye uhitaji na usikivu wake mkubwa kwa wanyonge na watu wa aina zote.

Mwamba Mwenyewe Makonda Ni mtu ambaye anapenda sana kuona wanyonge na watanzania maskini wanapata haki zao bila kuonewa.ndio sababu watu humiminika na kufurika katika mikutano yake utafikiri mchanga wa baharini.

Kama kuna mtu anamchukia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,basi afahamu kuwa hataweza kuzuia upendo mkubwa walionao watanzania wa maeneo mbalimbali kwa Mwamba huyu anayeendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.

Jiulize kwanini anakubalika sana na watanzania? Kwanini anafuatiliwa sana habari zake? Kwanini anaushawishi mkubwa sana kwa watanzania?kwanini anatabiriwi makubwa sana kiuongozi?

Jibu ni kuwa ni lazima tukubali wote kama Taifa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni kiongozi mchapa kazi,jasiri na mbunifu sana katika uongozi.Ni kiongozi ambaye akipewa nafasi hata kwa siku moja tu au majukumu ya siku moja tu anayafanya katika namna ambayo alama zake huwezi kuzifuta hata kwa kukwangua na jembe la mkono.

Niambie ni wapi Ambako Mwamba hajaacha Alama za kiuongozi mpaka alipofika hapo? Ni wapi ambako Mwamba hakumbukwi kuwa mahali hapa na katika nafasi hii alipita Mwanaume wa kazi Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda?

Mwisho niseme wazi kuwa kama kuna mtu anamuombea Mabaya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda,basi anajisumbua tu kwa sababu huyu Mwamba yupo na amefika hapo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu. Vita ambayo Mungu amempigania ni kubwa sana na ambayo kama siyo ulinzi wa Mungu na uwepo wa Mungu katika Maisha yake basi angekuwa amebaki historia tu hapa Duniani.lakini yupo hivyo alivyo kwa sababu Mungu ana makusudi maalumu na huyu Mwamba juu ya Ardhi ya Tanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bado ni mgonjwa, mwambie atulize tako chini afuate masharti ya daktari. Hata kama wamemtoa sumu lakini bado hana GUARANTEE
 
Back
Top Bottom