Paul Makonda Awabubujisha watu machozi ya furaha utafikiri wamepigwa na mabomu ya machozi

Ni makonda au Bashite????
 
HAPA UMEANZA TENA KUMRUDIA MAKONDA KAFULILA SI ATAMIND?
 
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† we.jamaa huwa sisomi yaliyomo ila heading tu huwa nacheka sana
Walahi nakufananisha na yule waziri wa habari.wa Iraq enzi za Saddam alikuwa anaitwa Alsahhaf
Unakosa madini mengi sana yenye afya kwa kutokusoma .ukisoma maandiko yangu utajikuta unapata tabasamu moyoni hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo
 
Mwenye Alie elewa anijuze nini kimejiri uko mtaani kwenu mbn kama kumedamshi uku
 
Mzee wa nyashhh yani wowowooo
Mzee wa nyashh au wowowoo toka lini akawa na akili
 
Unakosa madini mengi sana yenye afya kwa kutokusoma .ukisoma maandiko yangu utajikuta unapata tabasamu moyoni hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo
Heading inatosha sana Kama nimesoma yote
Maana sifa zote na upambaji unaujua
Kamsome huyo Waziri na wewe kiasi.nasoma yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…