Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Matokeo rasmi
----------------------------
Paul Makonda kura 122
Faustine Dungulile kura 190
Updates 20 Agust 2020
----------------‐---------------------------------
Kura za maoni halmashauri kuu CCM taifa yanpitisha Faustine Ndugulile kuwa mgombea ubunge jimbo la kigamboni
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Matokeo rasmi
----------------------------
Paul Makonda kura 122
Faustine Dungulile kura 190
Updates 20 Agust 2020
----------------‐---------------------------------
Kura za maoni halmashauri kuu CCM taifa yanpitisha Faustine Ndugulile kuwa mgombea ubunge jimbo la kigamboni