Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Hiyo kauli Magu alisema na alirudi kwa msisitizo,Katibu wa ccm taifa naye leo kasisitiza pia,Polepole naye ameshasema sana na kurudia tena akiwa kigamboni na akamtaja kabisa.

Kwahiyo kila dalili inaonyesha huyu jamaa ngumu kupita
Ndo hapo wanaosema mtoto wa baba atapangiwa wizara baada ya ubunge,magu alisema kabla we nimekuteua alafu unakimbilia ubunge ni tamaa
 
Atakatwa jina sawa!Lakini usifikiri halijui hilo. Subirini uchaguzi ukishapita mtapata majibu.

Hii ndiyo ule msemo wa JK.....changanya na za kwako

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ndugai na Majaliwa - mmoja wao asubiri kuugulia maumivu tu endapo dogo atashinda ubunge.

asipokatwa halafu akashinda ubunge, ataukwaa uspika au nako akifanyiwa figisu na wabaya wake chamani basi babake atampa u PM lazima.

akikatwa ubunge, babake atamteua viti maalumu na kumpa portfolio ama ya home affairs ama ya defence ama atamrejeshea u RC wake.

Bashite asingeweza kuacha u RC bila ya kwanza kuchanga karata zake vyema na babake. huyu dogo as long as babake yupo madarakani, ni bata batani kwa kwenda mbele!
 
Ndo hapo wanaosema mtoto wa baba atapangiwa wizara baada ya ubunge,magu alisema kabla we nimekuteua alafu unakimbilia ubunge ni tamaa
Kwa akili zako Magufuli anaweza kumkata Bashite?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi mbona mna akili fupii hiviii???
 
Makonda✓
Mnyeti✓
Gwajima✓
.........
..........
........
Ongezea wengine.
 
Ndugai na Majaliwa - mmoja wao asubiri kuugulia maumivu tu endapo dogo atashinda ubunge.

asipokatwa halafu akashinda ubunge, ataukwaa uspika au nako akifanyiwa figisu na wabaya wake chamani basi babake atampa u PM lazima.

akikatwa ubunge, babake atamteua viti maalumu na kumpa portfolio ama ya home affairs ama ya defence ama atamrejeshea u RC wake.

Bashite asingeweza kuacha u RC bila ya kwanza kucheza karata zake vyema na babake. huyu dogo as long as babake yupo madarakani, ni bata batani kwa kwenda mbele!
Watu wanajitoa fahamu tu ila Bashite anachukua Jimbo la Kigamboni hata kama asipopata kuraa za kutoshaaa..!! Kwa sasa kuhusu nani agombee sio kura tena ndani ya CCM ila ni mwenye chama chakee hadi wazeee wakongwe wameishiaa kusifu na kuabudu tu hawana jinsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Magu anawaburuzaa vilovyooo..
 
Watu wanajitoa fahamu tu ila Bashite anachukua Jimbo la Kigamboni hata kama asipopata kuraa za kutoshaaa..!! Kwa sasa kuhusu nani agombee sio kura tena ndani ya CCM ila ni mwenye chama chakee hadi wazeee wakongwe wameishiaa kusifu na kuabudu tu hawana jinsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Magu anawaburuzaa vilovyooo..
yeah, true... ndani ya CCM siku hizi hakuna wa kusema fyoko mbele ya Bashite na babake!
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja,leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nye ,mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua,hao hao watu ndo anategemea wampitishe,wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao,na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Mda upo tusubiri.

Soma pia: Paul Makonda amejaa Kiburi na Uthubutu usiomithilika
Nimeikumbuka kauli ya rais baada ya Makonda kusema alipata fedha za kaya masikini toka TASAF
 
Mpoki gani tena. Balozi!? Au ulimaanisha Ndungulile.... Maana ni maclass mate Muhimbili.
Mpoki wa Ze Comedy
tapatalk_1594903987339.jpg
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja,leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nye ,mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua,hao hao watu ndo anategemea wampitishe,wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao,na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Mda upo tusubiri.

Soma pia: Paul Makonda amejaa Kiburi na Uthubutu usiomithilika
Ila bado kawaacha mbali sana ktk kila kitu.
 
yeah, true... ndani ya CCM siku hizi hakuna wa kusema fyoko mbele ya Bashite na babake!
Yaah ukilijua hilii bhasi utadumu ndani ya chama na nafasi uliyopewa ndani ya ccm lakini ukitaka kuinua mabegaa ooho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani amesomea sheria ili awe spika au ni kufahamu tu kanuni
Ndugai na Majaliwa - mmoja wao asubiri kuugulia maumivu tu endapo dogo atashinda ubunge.

asipokatwa halafu akashinda ubunge, ataukwaa uspika au nako akifanyiwa figisu na wabaya wake chamani basi babake atampa u PM lazima.

akikatwa ubunge, babake atamteua viti maalumu na kumpa portfolio ama ya home affairs ama ya defence ama atamrejeshea u RC wake.

Bashite asingeweza kuacha u RC bila ya kwanza kucheza karata zake vyema na babake. huyu dogo as long as babake yupo madarakani, ni bata batani kwa kwenda mbele!
 
Back
Top Bottom