Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Ukitaka siri zote za Daud Bashite mtafute Le mutuz mpe Demo mrembo kisha mfundishe vya Kundadisi vizuri kwani Le mutuz huwa ni mdhaifu mbele ya wanawake ndiyo maana magufuli amegoma kumpa Teuzi zote,
Nasikia ndiyo anamsaidia kwenda kwa wenye vibuyu vilivyorembwa na shanga
 
Hizi ni propaganda sizizokuwa na mwelekeo, unaongelea kwa kumlenga mtu as if una bifu naye, Wanakigamboni wanamengi yapo nyuma na wanahitaji mpambanaji, HUYO KIJANA ANAWAFAA SANA KIGAMBONI, Ns atapita, take my word.
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.

Anza kutafuta sehemu ya kuficha USO wako kwa uvivu wa kufikiri au ufinyu wa taarifa.
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Ni kweli wana CCM wengi wanamchukia sana na wanatamani apotee jumla kwenye Ulingo wa siasa, lakini kumbuka mtukufu anamtaka awe mbunge kwa lazima , watafanya kila njia kuhakikisha anapita
 
Nasikia ndiyo anamsaidia kwenda kwa wenye vibuyu vilivyorembwa na shanga
Le mutuz ni mtu Mshirikina hakuna mfano kwa hapo Dsm na ndiyo mtaji wake mkuu kwa Bashite na viongozi wengine wengi wa CCM.
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Ni lazima apite narudia ni lazima apite.

Utake usitake ni lazima Bashite akanyage Dodoma kama m bunge wa kigamboni labda afe. Ningekuwa nacheza kamali tungeweka laki kwa 500
 
Hapo Magu huwa hakosei na kasema kabisa sijamtuma mtu si ningekuteua tu hamwelewi,polempole akasema hawa wanaojitambulisha huko mitandaoni tutawafundisha taratibu kwamba mmefanya kampeni mapema.
Licha ya yote mkumbuke Tuntemeke Sanga alipigwa viboko na mwalimu,akarudishwa kwao Songea na kuambiwa asikanyage mjini mpaka kwa ruksa ya mwalimu
Mdogo wangu hizi siasa za bongo ni kama bongo movie, yani intro tu ushajua picha linaishaje. Makonda, Mwanry, Tulia,Ndalichako, ni lazima majimbo yawahusu hata kwa kutolewa kafara wewe. Usibabaishwe na hizo fujo za Polepole ni danganya toto 2
 
Rushwa inatembea kama kawaida kwa mfumo wa tigo pesa m-pesa kwa namba ambazo siyo zake

Hiyo hao wajumbe wakichekiwa kwanini pesa zinaingia nyingi kwao, kuliko kawaida lazima watapata shida. Kazi ipo
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja,leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nye ,mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua,hao hao watu ndo anategemea wampitishe,wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao,na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Mda upo tusubiri.

Soma pia: Paul Makonda amejaa Kiburi na Uthubutu usiomithilika
Nasubiri next week nione maajabu mengine ya dunia ikiwa makonda atapitishwa kuwania ubunge.
 
Watu wanajitoa fahamu tu ila Bashite anachukua Jimbo la Kigamboni hata kama asipopata kuraa za kutoshaaa..!! Kwa sasa kuhusu nani agombee sio kura tena ndani ya CCM ila ni mwenye chama chakee hadi wazeee wakongwe wameishiaa kusifu na kuabudu tu hawana jinsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Magu anawaburuzaa vilovyooo..

Jamaa anapita, na uwaziri unamhusu pia.
 
Yule dada Tulia may b aka
Mdogo wangu hizi siasa za bongo ni kama bongo movie ya intro tu ushajua picha linaishaje. Makonda, Mwanry, Tulia,Ndalichako, ni lazima majimbo yawahusu hata kwa kutolewa kafara wewe. Usibabaishwe na hizo fujo za Polepole ni danganya toto 2
Yule Dada tulia may b akapishwa hao wenge sijui tusubiri kupitishwa kwao hiyo next week.
 
Msisahau bashite anatokea kanda pendwa,maneno ya kuambiwa ...........
 
siasa uzijui wewe mnapumbazwa tu end of the day makonda unakuja kumuona ni waziri wa michezo na sanaa
 
Back
Top Bottom