Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Hiyo kauli Magu alisema na alirudi kwa msisitizo,Katibu wa ccm taifa naye leo kasisitiza pia,Polepole naye ameshasema sana na kurudia tena akiwa kigamboni na akamtaja kabisa.

Kwahiyo kila dalili inaonyesha huyu jamaa ngumu kupita
We jamaa hiyo ni kiki kama kiki zingine unakuwa mgeni na stone?

Sasa hutaamini macho na masikio yako, Bashite lazima atue bungeni
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
Paulo Christian Makonda kama anavyojiita mwenyewe ni mmoja ya binadamu wanaokula raha kupitiliza hapa duniani, nani ataweza kumdhibiti, angeweza kugombea hata Urais kupitia ccm, sema ameamua kuanzia chini kwanza.
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
Kwa Nini unamchukia kiasi hicho?
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Hata alipokuwa DC wa Kinondoni alikuwa na masifa sifa kama sasa ?
 
Yule kala Pete ya Simba...hakuna wa kuthubutu kutoa jina..

Nguvu za kiza zina nguvu msisahau
Sasa yupo Mungu,pamoja na hizo nguvu zake atakakatwa tu km Mungu hajkusudia!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Eti takokuru bado wanachunguza zawadi za baiskeli na pikipiki kutoka kwa kigangwallah
😂😂😂😂😂 yule msukuma wamekosa ushahidi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wanahonga........
 
Usiamini maneno ya wanasiasa ata siku moja, na wote walio tenguliwa wakaenda kutia nia watakuwa bungeni kwa tarifa ako
 
Bashite ana siri nyingi za dikteta ikiwemo shambulizi la lissu na wizi wa trillions, labda awe tayari kumnunua kwa billions ili Bashite apige kimya.

Atakatwa tu kwani ye nani jmn!
Mungu yupo kazini

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Ngoja tusubiri!
Km Mungu aishivyo,aliowakusudia watapita

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Ebu fikiria Bashiru akimtetea kuwa hagombei leo kachukua form, kesho ataongea jingine la kumtetea awe mbunge
 
Back
Top Bottom