Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
si muache sanduku la kura ndio liamue...Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
hawezi kupitishwa na nani ?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si muache sanduku la kura ndio liamue...Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Mimi ni mungu wa daslamKatika watu wanaokula Raha Duniani, Mimi ni mmoja wao
We jamaa hiyo ni kiki kama kiki zingine unakuwa mgeni na stone?Hiyo kauli Magu alisema na alirudi kwa msisitizo,Katibu wa ccm taifa naye leo kasisitiza pia,Polepole naye ameshasema sana na kurudia tena akiwa kigamboni na akamtaja kabisa.
Kwahiyo kila dalili inaonyesha huyu jamaa ngumu kupita
Paulo Christian Makonda kama anavyojiita mwenyewe ni mmoja ya binadamu wanaokula raha kupitiliza hapa duniani, nani ataweza kumdhibiti, angeweza kugombea hata Urais kupitia ccm, sema ameamua kuanzia chini kwanza.Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Hata Yericko Nyerere anajua hafui dafu kwa Makonda.Makonda atakatwa na nani banaa..? labda sio mpakwa mafuta!
Kwa Nini unamchukia kiasi hicho?Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Hata alipokuwa DC wa Kinondoni alikuwa na masifa sifa kama sasa ?Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.
Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.
Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Wanahonga........Si wamekatazwa kuhonga au?😃
Naam! Hiyo ndo kauli. Sio kusema hawezi pita [emoji23][emoji1787]Uchaguzi bado ila kazi anayo
Hivi wale wajumbe wanaopiga kura za maoni/kuteua mgombea kama Diwani/Mbunge wanapatikanaje?
Sasa yupo Mungu,pamoja na hizo nguvu zake atakakatwa tu km Mungu hajkusudia!Yule kala Pete ya Simba...hakuna wa kuthubutu kutoa jina..
Nguvu za kiza zina nguvu msisahau
Atakatwa tu kwani ye nani jmn!Hawezi kukatwa labda itokee miujiza
Wanahonga........
Atakatwa tu kwani ye nani jmn!
Mungu yupo kazini
JESUS IS LORD[emoji120]