Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Vingine ukiambiwa uwe unapotezea tu maana havina Hata chembe ya uwezekano...
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
KWELI WEWE NI LOFA WA MTIMBWILIMBWI AU LUPWIPWI KWANI RAIS ALIPOKATAZA SIASA SIKU CHACHE BAADAYA KUCHAGULIWA NA AKASEMA HADI 2020 NA SHERIA IKASIMAMIWA NA VYOMBO VYA DORA HIYO KATIBA ILIKUWA WAPI? HIVI KWA AKILI YAKO KUNA KATIBA CHINI YA JPM?Ni kawaida kwa kila mwanaJF kunyetishiwa,akilala akaota au akifikiri baada ya kushiba viazi vyake anakuja kuanzisha uzi kwa madai ya kunyetishiwa.
Unashindwa na mimi lofa mkulima na mfugaji huku vijijini ninayejua kwamba kikatiba rais akitoka upande mmoja wa muungano basi ni lazima makamu wake atoke upande mwingine?
KWELI WEWE NI LOFA WA MTIMBWILIMBWI AU LUPWIPWI KWANI RAIS ALIPOKATAZA SIASA SIKU CHACHE BAADAYA KUCHAGULIWA NA AKASEMA HADI 2020 NA SHERIA IKASIMAMIWA NA VYOMBO VYA DORA HIYO KATIBA ILIKUWA WAPI? HIVI KWA AKILI YAKO KUNA KATIBA CHINI YA JPM?
Kitu unatakiwa ushukuru Mungu tangu kuanza kwa 2020, kwanza ni wewe kuwa hai na pili ni kupata fursa ya kujibiwa na mimi hapa jukwaani. Kajifunze kwanza tofauti ya 'R' na 'L' ndio uje kujibu michango yangu mimi 'lofa' hapa jukwaani. |
Awezi kuwa. Kwa sababu Poul ni Mtanganyika na anatakiwa awe mzanzibari. Mh Mwinyi (MoD) anaweza kuwa VPHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Kuna mambo yanayoweza kukanyagwa lakini sio hilo! Halafu unawaambiaje Wa-Zanzibari?!Katiba mnayoizungumzia [emoji15]hii inayokanyagwa kanyagwa kila siku!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika itapendezaHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Kwani unabii wa mungu unasemaje kuhusu Tanzania???Siyo kwamba kila kitu kinawezekana,ni lazima Magufuli aipasue Tanzania vipande vipande ili neno la unabii wa Mungu lipate kutimia.....
Daaaaaa haya mambo haya....labda N/ RAHITHI wa WATHAFI.
Magufuli hamnazo sana yule msukuma, ndo kwaaanza anasema kimoyoni, ''inawezekana'' yaani tunampa akili. msipotaka ndiyo yeye ana kwenda.Kwa samia kuwa mgombea zenji inawezekana ila kwa Makonda umebugi sana,
Yaan hii tetesi hata Magufuli atakuwa anaishangaa maana ataiona hapa JF haha, itamfanya ayaache mafaili yanayomzonga kitandani kwanza aitafakari
😂Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Duuh siku hazigandi, ngoja tusubiri mtanangeHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
kuwa tumeamua! kwani unadhani Muungano wautaka? si upo ni kilazima tuu, ya tanganyikaKuna mambo yanayoweza kukanyagwa lakini sio hilo! Halafu unawaambiaje Wa-Zanzibari?!
Mkuu Chige Muungano unalindwa kwa gharama yoyote kwani ndiyo chimbuko halisi la CCM. Muungano ulianza kama wazo la watu wawili halafu vyama vikaunganishwa TANU na AFRO-SHIRAZI kuipata CCM. Kwa hiyo Muungano ndiyo nguzo ya CCM ndiyo maana unalindwa kwa gharama yoyote.Hahaaa! Wa-Zanzibar aina ya Jecha wala sio kwamba wanaonewa... in fact wanafahamu wanachokifanya na hawana tatizo sana na wanachokifanya hata kama ni kwa shingo upande! Nasema hivyo kwa sababu ma-CCM Zanzibar yanafahamu kwamba, kuendelea kuwapo kwao madarakani kunategemea CCM Bara kwa kiasi kikubwa!
Hao ni CCM-Zanzibar Ruling Class!!
Sasa hawa CCM Ruling class wakithubutu kufanya kama anachosema britanicca, basi wajiandae kuiba kura kwa kutumia vifaru na brigade za jeshi manake uibaji wa kawaida hautawasaidia!
That's one but two, wana-CCM Vigogo wa Bara wenye busara sidhani kama wanaweza kuruhusu uhuni kama huo! Kuruhusu uhuni huo itakuwa ni kama kuifufua serikali ya Tanganyika in other way around!! Yaani huku JPM ndie Rais, kule Bashite ( or the like) Makamu wake... PM nae ndo hivyo aendelee kuwa Braza Maja or the like! Hiyo ni serikali ya Tanganyika, and there'll be no justification!
Hawa wenye CCM na nchi yao wameapa kuulinda muungano na Mwenge wa Uhuru kwa gharama yoyote ile! Na hata vigogo wa Bara wanavyo-engineer kumpora madaraka Maalim Seif wala si kwamba wanawapenda sana akina Mohammed Shein na CCM Zanzibar kwa ujumla bali wanafahamu Seif akishaingia pale, muungano waliokula yamini kuulinda utakuwa kwenye majaribu ya karne!!! Ukweli usio na shaka Wazanzibari wengi hawaupendi kabisa muungano na kama ni lazima, basi ni serikali 3!
Sasa kama watakuwa tayari kukifumbia macho kiashiria hatari kabisa kinachoonesha hatimae kuna serikali ya Tanganyika, basi ningefurahi sana hilo litokee kwa sababu, ningefurahi sana kuona wanavyovurugana.