Mashabiki wa DAB mna tabu sana.. Mnateseka sanaHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Itakuwa hivi:Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Katiba inasemaje?Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
DuhKwa samia kuwa mgombea zenji inawezekana ila kwa Makonda umebugi sana,
Yaan hii tetesi hata Magufuli atakuwa anaishangaa maana ataiona hapa JF haha, itamfanya ayaache mafaili yanayomzonga kitandani kwanza aitafakari
Kama hizo tetesi zako zitakuwa kweli, basi Jiwe anataka kuvunja Katiba waziwazi......
Hakuna uwezekano, kwa mujibu wa Katiba, kama Rais anatoka Tanganyika na makamu pia atoke Tanganyika
Bali ni takwa la Katiba ya nchi kuwa kama Rais anatoka Tanganyika ni lazima Makamu wake awe mzanzibari
gaidi tu yule hatutaki kurudi tuliko toka yatosha tafadhali
Hama nchi.gaidi tu yule hatutaki kurudi tuliko toka yatosha tafadhali
tunapambana hapahapa this is my motherland me siyo kama wengine
Kuna nyzi zilizotabiri juu ya mama samia ,kifo cha magu, zilipuuzwa mwanxo lkn sasa zimefukuliwa zikiwa zimetimiaHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari