Povu rukhsa!
Nikiri tu kuwa mimi ni muumini wa mtu yeyote anayetumia akili yake vizuri.
Makonda anajitofautisha sana na viongozi wengine hapa nchini. Yeye ni mchapa kazi na mbunifu sana.
kwa sasa mkoa ambao una mkuu wa mkoa makini ni Arusha tu.
Tunawaomba viongozi wengine wafanye kazi kwa bidii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.
Hongera sana Makonda
Nikiri tu kuwa mimi ni muumini wa mtu yeyote anayetumia akili yake vizuri.
Makonda anajitofautisha sana na viongozi wengine hapa nchini. Yeye ni mchapa kazi na mbunifu sana.
kwa sasa mkoa ambao una mkuu wa mkoa makini ni Arusha tu.
Tunawaomba viongozi wengine wafanye kazi kwa bidii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.
Hongera sana Makonda