Paul Makonda ni mwamba kweli kweli

Paul Makonda ni mwamba kweli kweli

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
KAZI ANAZOFANYA MAKONDA, WAZALENDO TUWE TUKIMUOMBEA SANA,

Kila nikitazama ujasli na weredi wa Mh Paul Makonda napata faraja kubwa sana, nimefurahishwa na kauli yake akisema hatoyumbishwa, wahuni wanaomyumbisha ni kama wanambembeleza akiwa usingizini au akiwa kwenye chumba cha masage.

Iko hivi

1. Huu si muda wa kuwabembeleza watu wanaolipwa kwa kodi zetu, ukiwa una dhamana ya uongozi au mtumishi tukikuuliza mali zetu zipo wapi tujibu usitutishe wala usijibebishe

2. Ukishindwa kazi kaa pembeni tanzania kuna graduate wengi wanamudu hiyo nafasi

3. Muda wa kutishiana si sasa, mungu amekuwa akijidhihilisha mno

4. Wezi na wavivu mnapokusanyana kumpinga makonda na sisi wengine tunawaona

5. Tuache majungu na uvivu kwenye ofisi za uma, watu wanaenda kasi wanataka huduma

Makonda piga kazi, tunaokuelewa tupo na wezi na wavivu wapo ndio dunia, hutokufa mpaka muda ufike kwa sababu unafanya kazi ya mungu

Ndimi Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
JITU LA MIRABA

IMG-20240523-WA0036.jpg
 
KAZI ANAZOFANYA MAKONDA, WAZALENDO TUWE TUKIMUOMBEA SANA,

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
KING OF ALL SOCIAL MEDIA

Kila nikitazama ujasli na weredi wa Mh Paul Makonda napata faraja kubwa sana, nimefurahishwa na kauli yake akisema hatoyumbishwa, wahuni wanaomyumbisha ni kama wanambembeleza akiwa usingizini au akiwa kwenye chumba cha masage.

IKO HIVI
1. HUU SI MUDA WA KUWABEMBELEZA WATU WANAOLIPWA KWA KODI ZETU, UKIWA UNA DHAMANA YA UONGOZI AU MTUMISHI TUKIKUULIZA MALI ZETU ZIPO WAPI TUJIBU USITUTISHE WALA USIJIBEBISHE
2. UKISHINDWA KAZI KAA PEMBENI TANZANIA KUNA GRADUATE WENGI WANAMUDU HIYO NAFASI
3. MUDA WA KUTISHIANA SI SASA, MUNGU AMEKUWA AKIJIDHIHILISHA MNO
4. WEZI NA WAVIVU MNAPOKUSANYANA KUMPINGA MAKONDA NA SISI WENGINE TUNAWAONA
5. TUACHE MAJUNGU NA UVIVU KWENYE OFISI ZA UMA, WATU WANAENDA KASI WANATAKA HUDUMA

MAKONDA PIGA KAZI, TUNAOKUELEWA TUPO NA WEZI NA WAVIVU WAPO NDIO DUNIA, HUTOKUFA MPAKA MUDA UFIKE KWA SABABU UNAFANYA KAZI YA MUNGU

Ndimi Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
JITU LA MIRABA
Paul Christian Makonda is the next URT President due to his audacity to challenge the irresponsible public servants who are arrogant and lazy to deliver proportionally to the 'wananchi' requirements.
 
Paul Christian Makonda is the next URT President due to his audacity to challenge the irresponsible public servants who are arrogant and lazy to deliver proportionally to the 'wananchi' requirements.
Labda raisi wa nyumbani kwenu na ukoo wenu wa Koromije
 
Alichojibu Jana mmekisikia?.... baada ya WANAWAKE wanafki kulia lia..
 
KAZI ANAZOFANYA MAKONDA, WAZALENDO TUWE TUKIMUOMBEA SANA,

Kila nikitazama ujasli na weredi wa Mh Paul Makonda napata faraja kubwa sana, nimefurahishwa na kauli yake akisema hatoyumbishwa, wahuni wanaomyumbisha ni kama wanambembeleza akiwa usingizini au akiwa kwenye chumba cha masage.

Iko hivi

1. Huu si muda wa kuwabembeleza watu wanaolipwa kwa kodi zetu, ukiwa una dhamana ya uongozi au mtumishi tukikuuliza mali zetu zipo wapi tujibu usitutishe wala usijibebishe

2. Ukishindwa kazi kaa pembeni tanzania kuna graduate wengi wanamudu hiyo nafasi

3. Muda wa kutishiana si sasa, mungu amekuwa akijidhihilisha mno

4. Wezi na wavivu mnapokusanyana kumpinga makonda na sisi wengine tunawaona

5. Tuache majungu na uvivu kwenye ofisi za uma, watu wanaenda kasi wanataka huduma

Makonda piga kazi, tunaokuelewa tupo na wezi na wavivu wapo ndio dunia, hutokufa mpaka muda ufike kwa sababu unafanya kazi ya mungu

Ndimi Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
JITU LA MIRABA

View attachment 3001600
Ni mwamba kweli kweli. Mungu amlinde
 
Back
Top Bottom