Paul Makonda ni nani pale WCB?

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Ninapata mashaka na capability yake ya kiungozi, anajinasibu kama mtetezi wa sanaa lakini upande wa pili kuna harufu mbaya ambayo nimeanza kuihisi, Nyie mfatilieni tu mtajua nyendo zake, kwa sasa hana tofauti na babu tale au salam, Meneja si meneja yani haeleweki, Ikitokea WCB wamefanya jambo yupo so quickly kutoka kwenye media na kutoa back up either kupongeza au kusema neno juu ya hilo, Fatilieni page zake kwenye social networks mtaelewa hiki kitu, Anataka kutuaminisha kuwa mafanikio yeyote ya wcb ndio mziki kukua ila mafanikio ya wasanii wengine haoneshi response yeyote, Sasa hebu atuieleze yeye ni kiongoz wa kitaifa aliyepo kwa ajili ya sanaa na wasanii wote au yupo pale kwa ajili ya WCB?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mapovu vepee makonda n mlezi wa WCB kutokana na kujituma n kujitolea kwa jamii mfano ni cku ya usafi WCB tulijitokeza kulisafisha jiji kwa moyo mmoja vipi nyie timu kibakuli n alisasema atatoa support kwa wasanii waliomsupport cku ya usafi c wanaomsupport wakickia kuna sherehe tu
 
Makonda sio kiongozi wa kitaifa, ni wa ki Dar es salaam
 
Kwa muda mfupi jina la Mavoko limepaa kwa kasi sana. Huwezi amini tayari mwanamuziki nguli ameshaanza mazungumzo ya kujiunga na wasafi.

Nani hataki mafanikio? Namshauri babu K naye aanzishe lebo ili asaidie wenzake aache ubinafsi. Kushabikiwa na mateja na vibaka hakutamsaidia Kiba kwani hutumia nguvu nyingi badala ya hoja.
 
Niliwasikia WCB Jana kwenye fnl ya eatv wakimshukuru mh Paul Makonda kama mlezi wao.Hata hivyo wcb wamesema j3 ya wiki ijayo watakwenda kumkabidhi Mkuu huyo wa mkoa bonge la zawadi kama shukrani zao kwake na kwa watz kwa ujumla kwa support yao.Kama vipi j3 tuwepo basi kupokea zawadi hizo[emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125]
 

umemaliza mkuu ,umeeleweka sanaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…