Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Anawapiga madongo TRA na Polisi kwa lile tukio lililotokea BunjuPamoja na polisi kuwa mnafanya kazi yenu vizuri ila Kuna wakati mnasumbua sana hasa mkiona magari mapya, na lengo la usumbufu wenu ni kuombaomba ela. Nadhani kwa Arusha inabidi mtupumzishe kidogo tuendeshe magari yetu kwa raha.
View attachment 3188452
konda boy dishi huwa limecheza tu.anaendesha mkoa kama anaendesha whatsapp groupAnawapiga madongo TRA na Polisi kwa lile tukio lililotokea Bunju
Ndiye amepewa uadmin wa Mkoa.konda boy dishi huwa limecheza tu.anaendesha mkoa kama anaendesha whatsapp group
jamhuri ya arushaNdiye amepewa uadmin wa Mkoa.
Kuna siku atakuja kutangaza kujitenga na yeye kuwa rais wa mkoa uliojitenga
"Huwezi kupendwa na kila mtu " sikushangaiYani hapo zero brain anatoa maagizo kwa negative zero brain, kitaalam wanasema mbumbumbu wanapeana maagizo. Huu mwaka nao uishe tu
Mwanangu mad max mtu lazima aheshimiwe kuvuta pira kutoka bandarini sio kinyonge mzeeHahahahaa qmmk
agizo hili la makonda ni sawa na stori za kijiweni halifai kutoka kwa mkuu wa mkoa"Huwezi kupendwa na kila mtu " sikushangai
Eti ni channel ya vichekesho mbinguni.ππππ
Ukiishi Tanzania huna haja ya kuangalia Tamthiliya
Yap Tz inaviongozi wajinga snπππ
Ukiishi Tanzania huna haja ya kuangalia Tamthiliya
Sababu hakuna vetting yoyotekonda boy dishi huwa limecheza tu.anaendesha mkoa kama anaendesha whatsapp group
Kama Mbowe hapo Chadema πYap Tz inaviongozi wajinga sn
CCMKama Mbowe hapo Chadema π