Ile mikataba ya kichina inatutia mashaka sana maana inawezekana tukawa tumepigwa beiAfadhali mkataba wa Yanga tutauona mikataba ya gesi mbona hatuioni.
Umenikumbusha ile kampuni ya budegeMi nilifikiri huyu jamaa angetuambia kwamba tunataka kujua kwa nini Dar ni chafu hadi leo tunakumbwa na kipindupindu, basi tusome mikataba ya usafi baina ya kampuni za kuzoa taka na halmashauri za jiji...........
Hana mpango na nivema tukawa tunapuuza kila tamko lakeMkuu tatzo ni mpuuzi tu na tunatakiwa kupuuza story zake za kijinga!!
Pata like yangu mkuu, kingine amejaribu kuonesha jinsi tunavyojifunga muda mrefu. Just imagine miaka 10??seriouslyMh paul Makonda kajaribu kuonyesha ni jinsi gani Mikataba inayoingiwa serikalini bila hata kupitiwa kwa makini inaitia nchi katika umaskini .Tusipinge kila kitu
Alianza Zito, akaja tundu lisu, sasa makonda.
makonda anaelewa kuwa masuala ya michezo hayaingiliwi na serikali?....kwahiyo ajitahidi kuongea kama mshabiki au mwanachama wa yanga na sio kiongozi wa serikali. na afuate taratibu na kanuni za uendeshaji wa vilabu vya mipira tanzania na duniani....vikao ndiko hutolewa maoni na malalamiko...sasa anapokuja kutoa kwenye mitandao ya kijamii kwanini hakuuliza kwenye mkutano mkuu wa jumamosi iliyopita?
Mpira wa miguu hauna democrasia... Democrasia ipo kwenye siasa tuuNaamini ni wewe kati ya wake wanaodai demokrasia! Iweje umshutumu Makonda kwa uhuru alio nao, kama Mtanzania, kuongea yaliyo moyoni bila ulazima wa kuyasema hayo kwenye vikao vya kilabu, kwa jinsi ya kanuni zake!