Paul Nonga wa Mwadui FC amwaga wino Jangwani!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Kocha Mwambusi ndiye amempendekeza maana alikua nae Mbeya city kabla Mwadui FC.
 
Anacheza sehemu ipi uwanjani?
 
kwa mpira gan alionao? labda aende simba
 
kama ni Mwambusi basi itakua alikua anapanga timu kwa shinikizo maana alikua hamtumii kabisa na kubwa zaidi ameisumbua sana Mbeya City na wakaamua kumtema

ndumu ndio kwao huyu
 
Lakini akienda huko kiwango kitapotea, msimu ujao utasikia ameenda kwa mkopo timu fulani.

kupotea kwa kiwango sio kosa la timu bali ni yeye mwenyewe kujituma. akionesha kiwango atapata nafasi kama wengine wanavyopata.
 
Kama mchezaji tayari wa vpl alafu ukahamia zile timu Za kariakoo dsm, ndo basi tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…