Paul Nonga wa Mwadui FC amwaga wino Jangwani!!!

Paul Nonga wa Mwadui FC amwaga wino Jangwani!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Kocha Mwambusi ndiye amempendekeza maana alikua nae Mbeya city kabla Mwadui FC.
 

Attachments

  • nonga.jpg
    nonga.jpg
    35.7 KB · Views: 359
kama ni Mwambusi basi itakua alikua anapanga timu kwa shinikizo maana alikua hamtumii kabisa na kubwa zaidi ameisumbua sana Mbeya City na wakaamua kumtema

ndumu ndio kwao huyu
 
Lakini akienda huko kiwango kitapotea, msimu ujao utasikia ameenda kwa mkopo timu fulani.

kupotea kwa kiwango sio kosa la timu bali ni yeye mwenyewe kujituma. akionesha kiwango atapata nafasi kama wengine wanavyopata.
 
Kama mchezaji tayari wa vpl alafu ukahamia zile timu Za kariakoo dsm, ndo basi tena!
 
Back
Top Bottom