Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,278
Bora useme wewe maana wenye team zao wameshafika. Wema ni zilipendwa kwenye showbiz. Yani mtu amuache Paula aende kwa wema?? Akina wolper walijua mapema wakaweka bizness zao...yeye akawekeza kwenye kufuga mashoga. Kiko wapiiUko sahihi wema angekuwa hata na diploma angebebeka na angekuwa mbali Sasa yeye aliwekeza kudanga na kusahau elimu wakati mwili umekongoroka, joketi kilichomsaidia ni shule yake pia bila hivo angekuwa ka wema
Ujinga kivipi !!?Wanaomponda ni wivu tuu...!! Masuala ya vyeti ni ujinga tuuu
labda kwenye uchumi wa katiHiyo menejimenti imsimamie kwenye nini yani?
Wana mdaganya tu Paula Tena ana advantage ya kuwa maarufu kilichotakiwa ni kumshape awe hata na elimu ya wastani then kumuendeleza kwa kufanya kazi za kijamii na hivi anajulikana isingekuwa ngumu kupata ma connection ya ku support kazi zake za harakati hata kwa jamii, kuliko kumwacha na ma photo shot ya nguva mara kutoka na rayvan there is no future kabisa zaidi ya kutumika na kukongoroka, angejifunza kwa wema alikuwaga ana pata support ya wengi ila ikawa anaendekeza ujinga tu na team za hovyo hovyo na mashoga Sasa kafulia umaarufu hamna ndo akaenda kukata utumbo akifikiria utamrudisha kwenye chart matokeo yake kadorora doro. Kina wolper nao walikuja kushtuka kufungua biashara na hata kuzaa ila wema yeye kabaki kichwa na manunu wake. I do believe Paula akisimamiwa ni Binti atakayekuwa na potential kubwa tuBora useme wewe maana wenye team zao wameshafika. Wema ni zilipendwa kwenye showbiz. Yani mtu amuache Paula aende kwa wema?? Akina wolper walijua mapema wakaweka bizness zao...yeye akawekeza kwenye kufuga mashoga. Kiko wapii
Una akilisana, nyie ndo watu tunawaitaji, mnauwezo wa kuona almasi kwenye matope.....kiukweli nimekuwa nikilifikiria sana hilo......kwamba siku hizi ili uweze kufanikiwa kwa haraka soko lipo social media, kwa mtoto Paula Mama yake kajala anapaswa sasa kuanza kumtengenezea management nzuri ambayo inapaswa kuwa na watu wabunifu na wenye kuona mbali sambamba na hali ya sasa ya soko la social media, pigs pesa kwanza kusoma baadaye ukishapata pesa....wazungu mbona wanafanya sana hilo sie ngozi nyeusi tumekariri bila kusoma no mafanikio....!View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Kwa hyo unataka wote tuwe wachoma sindano .... Paula ana kitu chake anachokipenda ataenda kusomea kwacho then atarudi mtaani mama ake alishalitolea ufafanuz ...masuala ya vyeti vya Division one ni usenge tuu Kwa hapa bongo labda mambele huko...!!! Alaf wote wanaomuonea wivu Paula Wana Sura ngumu na hawana mvuto ...kama huyo mtoto wa monalisa ni Sawa kwake kupata Division one mana hakuna wa kushoboka naye, apambane awe engineer wa mabara barsahukoUjinga kivipi !!?
wakati ukiumwa ndio wanakuchoma sindano
Potential kwenye nini specifically?...Siasa,Tecnology,Uigizaji,Muziki au nini?Wana mdaganya tu Paula Tena ana advantage ya kuwa maarufu kilichotakiwa ni kumshape awe hata na elimu ya wastani then kumuendeleza kwa kufanya kazi za kijamii na hivi anajulikana isingekuwa ngumu kupata ma connection ya ku support kazi zake za harakati hata kwa jamii, kuliko kumwacha na ma photo shot ya nguva mara kutoka na rayvan there is no future kabisa zaidi ya kutumika na kukongoroka, angejifunza kwa wema alikuwaga ana pata support ya wengi ila ikawa anaendekeza ujinga tu na team za hovyo hovyo na mashoga Sasa kafulia umaarufu hamna ndo akaenda kukata utumbo akifikiria utamrudisha kwenye chart matokeo yake kadorora doro. Kina wolper nao walikuja kushtuka kufungua biashara na hata kuzaa ila wema yeye kabaki kichwa na manunu wake. I do believe Paula akisimamiwa ni Binti atakayekuwa na potential kubwa tu
Paula Ana fursa nyungi tu sema watu wanamshushaWana mdaganya tu Paula Tena ana advantage ya kuwa maarufu kilichotakiwa ni kumshape awe hata na elimu ya wastani then kumuendeleza kwa kufanya kazi za kijamii na hivi anajulikana isingekuwa ngumu kupata ma connection ya ku support kazi zake za harakati hata kwa jamii, kuliko kumwacha na ma photo shot ya nguva mara kutoka na rayvan there is no future kabisa zaidi ya kutumika na kukongoroka, angejifunza kwa wema alikuwaga ana pata support ya wengi ila ikawa anaendekeza ujinga tu na team za hovyo hovyo na mashoga Sasa kafulia umaarufu hamna ndo akaenda kukata utumbo akifikiria utamrudisha kwenye chart matokeo yake kadorora doro. Kina wolper nao walikuja kushtuka kufungua biashara na hata kuzaa ila wema yeye kabaki kichwa na manunu wake. I do believe Paula akisimamiwa ni Binti atakayekuwa na potential kubwa tu
Anaweza kutumia umaarufu wake kufanya kazi za kijamii, modelling like that ataweza kufika mbali kuliko huko kudanga hovyoPotential kwenye nini specifically?...Siasa,Tecnology,Uigizaji,Muziki au nini?
Yes anaweza kuja kufanya makubwa zaidi hasa akijilinda kutangaza Mambo ya mahusiano hadharani tuPaula Ana fursa nyungi tu sema watu wanamshusha
Kwani Jokate alisaidiwa na elimu yake au ilitokea zari akapendwa na mtu mkubwa.
Akina kingkiba wamepita naye sana
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Sikama baba kigani wa Manchester yaserikali awamu ya 5Wanaomponda ni wivu tuu...!! Masuala ya vyeti ni ujinga tuuu
mimi nawapitia sio kupitiwa,hata wewe ukitaka nakupitia then utasema unahitaji nikuonge niniWe umepitiwa na wangapi ?’ Hiyo sio hoja hata kama alikua anafanya sio aina ya kudanga
Afanye mambo yake yote asije ingia mikononi mwahuyu mNYALu(CTV nyerere)...atajuta wema nawezake wanaelewaMenejimenti nzuri yakumkuwadia wanaume labda
Weka wazi ni nani na anafanya ishu ganAfanye mambo yake yote asije ingia mikononi mwahuyu mNYALu(CTV nyerere)...atajuta wema nawezake wanaelewa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ni "kukariri" na si "kukalili".Watu wamekalili sana maisha hawajui dunia ya sasa pesa na mafanikio vipo wapi.
Ni "huwezi" na si "uwezi".Uwezi kutoboa kwa kudanga ila ukiwa na mipango kwa sasa hivi kibongobongo pesa ipo hizi mil 30 mpaka mil 50 Paula anaweza kuzichezea sana.
Nakupenda binti kiziwi limoyo langu linadunda dundaBrand!!!! kama hana product endelevu ya kupeleka sokoni yenye demand kubwa ni kumpoteza maboya mtoto wa watu. Hana chochote cha kufanya zaidi ya uvideo vixen, photoshoot kutangaza brand za watu kwa malipo kiduchu labda sana na event appearance nazo kwa malipo kiduchu.
Nchi yetu bado ni masikini, hivyo hivyo na industry bado ni masikini sana, issues kama Gigs na showbize bado hazina pesa kiasi hicho, na kwa wasanii hakuna msanii anaweza kuja na bidhaa yenye brand yake akaipush sokoni ika-boom. Wapo akina Flavian matata baada ya uwekezaji mkubwa wanapush product zao zinatoka lakini sio kwa ukubwa huo.
Paula kutengeneza pesa hizo mnazomuaminisha kupitia jina kibongo bongo ni uongo, labda kutengeneza umaarufu ambao utampa "pesa madafu tu". Njia walizopita akina Kyle Jenner huku haziko applicable.