Paula kaenda kusomea kitu gani huko Uturuki?

Paula kaenda kusomea kitu gani huko Uturuki?

Unaposema form four alifeli unamaanisha hakupata cheti kabisa?
Halafu pia ngoja nikukumbushe kitu.
Vyuo vya nje vingine wanadahili bila ku regard makaratasi yetu ya form 4 au 6.
Anaweza akawa bora katika fani atakayoisomea huko kuliko yule atakayesomea UDSM mwenye division one ya bongo.
Hii si kweli, msidharau elimu kijingajinga, ingekuwa hivyo si kila mtoto angekuwa anapata Div I?
 
Unaposema form four alifeli unamaanisha hakupata cheti kabisa?
Halafu pia ngoja nikukumbushe kitu.
Vyuo vya nje vingine wanadahili bila ku regard makaratasi yetu ya form 4 au 6.
Anaweza akawa bora katika fani atakayoisomea huko kuliko yule atakayesomea UDSM mwenye division one ya bongo.
Weeh Elimu ya bongo ni kisanga boss
 
Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.

Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
Weee jamaa akili yako imejaaa mavi ubongo wako kuna sehemu haupo sawa

Ivi mtu anapoamua kusoma huwa anasoma kwa faida yako au faida yake na hiyo ada unamlipia wewe au anajilipia mwenyewe
 
Hii si kweli, msidharau elimu kijingajinga, ingekuwa hivyo si kila mtoto angekuwa anapata Div I?
Hujanielewa bado.
Hivi unadhani ukimchukua dogo wa form four aliyepata four ya 28 umpeleke India akapige MD miaka 6 na umchukue dogo wa form six points 7 ambaye O- level pia alipiga one umpeleke Muhimbili akapige MD miaka 5+1 yupi atakuwa bora zaidi?
Hapo
 
Back
Top Bottom