PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ohoooo!!!miti tu huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo!!!miti tu huko.
Huyu nadhani alirudia mitihaniSo alifanya private candidate mitihani.
Inaonesha ulifeli form four wewe! BishaUnaposema form four alifeli unamaanisha hakupata cheti kabisa?
Halafu pia ngoja nikukumbushe kitu.
Vyuo vya nje vingine wanadahili bila ku regard makaratasi yetu ya form 4 au 6.
Anaweza akawa bora katika fani atakayoisomea huko kuliko yule atakayesomea UDSM mwenye division one ya bongo.
Mimi sitetei failure ili imeniboa jinsi mtoa mada alivyo mjudge mtu.Inaonesha ulifeli form four wewe! Bisha
Tupe index number yako na mwaka uliohitimuMimi sitetei failure ili imeniboa jinsi mtoa mada alivyo mjudge mtu.
Cheti changu cha form four hakina F hata moja.
Mimi nilifaulia shule za vipaji. Shule yetu yakitoka matokeo mnaulizana one ngapi sio sifuri ngapi.
Mdhaha-matunda ya elimu ya Bongo.jamaa hakika alie kaa kitako hawez ongea kauli kama za jamaa huyo. Elimu ya bongo sio mdhaha
Hivi umeishia darasa la ngapi? Mbona hata Kiswahili unashindwa kukiandika kiufasaha huku ukiwa busy ku judge maisha ya watu?maisha anayo ishi na mamake kupost matako kila siku nawasiwasi.
Ndugu yangu aidha unapenda sana kubishana au huna akili timamu.Tupe index number yako na mwaka uliohitimu
Wote sasa tunauhakika hukupita form four pamoja na kulegeza ufaulu A toka 81-100. Onyo, ukiona walio na elimu kukuzidi Acha kubishana nao.Ndugu yangu aidha unapenda sana kubishana au huna akili timamu.
Je, kama nikikupa index ya mtu mwingine?
Tukate mzizi njoo pm Mimi nawewe tuweke vyeti vyetu vya kidato cha nne.
Huko pm naomba niwe refereeNdugu yangu aidha unapenda sana kubishana au huna akili timamu.
Je, kama nikikupa index ya mtu mwingine?
Tukate mzizi njoo pm Mimi nawewe tuweke vyeti vyetu vya kidato cha nne.
Uturuki ni maarufu kwa bidhaa feki sasa hivi!!uturuki chimbo jipya la ma punda...mules
Post # 57 kapiga brake anataka kunitoa kwenye mada.Huko pm naomba niwe referee
Huko pm naomba niwe referee
Wewe kolola mbona nakufuata pm umefunga.Wote sasa tunauhakika hukupita form four pamoja na kulegeza ufaulu A toka 81-100. Onyo, ukiona walio na elimu kukuzidi Acha kubishana nao.
PM yangu ipo wazi ila imeunganishwa na mfumo wa NECTA! Kwa ambaye hakufaulu form four, itakataa kufunguka, maana ni kwa wale wenye cheti tu. Nakushauri urudie hata masomo matatu angalau upate angalau D mbili maana hata ukiwa na D moja, haitafunguka. Mrs Van kwa vile alishinda form four, kaingia kiulaini na amenituma nikupe salamu za pole na kukupa moyo wa kuanza QT. Una la ziada ? Bwaga index number yako hadharani inayoanza na P na wala si Sxxxx/xxxx/20xx
PM yangu ipo wazi ila imeunganishwa na mfumo wa NECTA! Kwa ambaye hakufaulu form four, itakataa kufunguka, maana ni kwa wale wenye cheti tu. Nakushauri urudie hata masomo matatu angalau upate angalau D mbili maana hata ukiwa na D moja, haitafunguka. Mrs Van kwa vile alishinda form four, kaingia kiulaini na amenituma nikupe salamu za pole na kukupa moyo wa kuanza QT. Una la ziada ? Bwaga index number yako hadharani inayoanza na P na wala si Sxxxx/xxxx/20xx
Are serious?PM yangu ipo wazi ila imeunganishwa na mfumo wa NECTA! Kwa ambaye hakufaulu form four, itakataa kufunguka, maana ni kwa wale wenye cheti tu. Nakushauri urudie hata masomo matatu angalau upate angalau D mbili maana hata ukiwa na D moja, haitafunguka. Mrs Van kwa vile alishinda form four, kaingia kiulaini na amenituma nikupe salamu za pole na kukupa moyo wa kuanza QT. Una la ziada ? Bwaga index number yako hadharani inayoanza na P na wala si Sxxxx/xxxx/20xx
Pole sana jisalimishe QTAre serious?
Yaani niweke index yangu hapa jukwaani kwa manufaa ya nani?
Kwa akili hizo kama umesoma basi umeishia kufanya zile kazi za wenye akili ndogo.
Nikiweka index number hapa watu wakiingia mtandaoni wataliona jina langu halisi.
Kama hutaki kufanya kama nilivyokwambia tuliza matako yako chini.
Mimi sio mjinga na kula kulala kama wewe.
Kwa jinsi ulivyoshindwa kukubali kuonyeshana vyeti pm nina hakika hata division 2 ya form four huna.