Paulina ukifukuzwa uanachama CCM kimbilia Mahakamani ukazuie ubunge wako kama wale akina Mdee

Unafahamu kuna watu wameuliwa kwenye hilo sakata la akina Mdee ? kuua watu na kuingizwa chupa lipi kubwa ? Makonda ameua ( kwa mujibu wa USA ) lakini kateuliwa , hili jambo halikushangazi ?
Nani kauliwa kwenye sakata la Mdee? Acha uzushi.
 
 
Mwenyekiti wao alisema Katiba Ni "kijitabu tu"..
Unategemea Nini!!?
 
Huyu hana refa ataliwa kichwa mapema sana.
 
Siasa zimeharibu sana jamii yetu na bongo zetu...... mitazamo ya kisiasa imefubaza bongo zetu na kuzifanya ziwaze kuelekea upande mmoja........

Kila tukio linalotokea kwenye jamii kwanza mtu kabla ya kutoa maoni anaangalia huyo mtenda Yuko upande Gani wa shilingi.......ili abishe au amponde sio kutokana kitendo alichofanya bali kwa mlengo wa kisiasa.......

Fikra huru zimekwenda na maji kutokana na chuki na uhasama wa kisiasa
 
Kwahiyo suala la kina Mdee sio la kisheria tena baada ya kufikishwa mahakamani?
 
CCM wanaheshimu utawala wa sheria, sio Chadema Kila siku wanamlazimisha SSH awavue ubunge akina Mdee wakati kesi iko mahakamani.

N.B: Gekul alimpa mwendazake bila hiyana, na watu wa kule wanavyopenda rangi Sasa, na yeye akawa jeuriii sababu the big boss alishafyatua. Angekuwepo, hata uwaziri asingetolewa.
 
Kumbe kuvuruga uchaguzi ni madai eti!!??
 
Hilo kwa CCM halipo, siku anafukuzwa na siku hiyo hiyo ubunge hana, akienda mahakamani kesi haifunguliwi kwa dosari za kisheria za hapa na pale


Cha msingi ajiondokee CCM salama kama anajipenda..
 
Unajua nguvu ya Mwenyekiti wa CCM katika hii nchi ?
 
Kwamba kufanyika makosa kuna justify kuendelea kuvunja sheria? Hii Law school ya wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…