Paulina ukifukuzwa uanachama CCM kimbilia Mahakamani ukazuie ubunge wako kama wale akina Mdee

CCM tukikubaliana utupishe utapisha na mahakamani hauendi maana CCM ni nyumbani unaondoka Leo nafasi ya kurudi ipo.Sahau Kwa Geku kupinga maamuzi ya chama.
 
Wewe utakuwa ulishawahi kuingiziwa chupa kubwa ya Konyagi backward.
 
Weeee !! sema thuuuu !!
 
Hapo ndipo iliposimamia hoja yangu , asante kwa kunielewa , akienda mahakamani hawawezi kumuondoa , njia pekee ni kumuua tu
Wale wa CUF, MAALIM vs LIPUMBA mbona walikwama.
Haya mambo yana depend Serikali ipo upande gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…