Paulo Dybala ni Messi ajae

Paulo Dybala ni Messi ajae

Lionel Messi hadi sasa ni kiumbe ambae hatujui ametokea sayari gani kiufupi ni kiumbe Wa ajabu.


Ukijaribu kung'amua macho kwenye league zote hamna Wa kumlinganisha na huyu jamaa.



Ila ukipita pita kwa jicho yakinifu unakuja kuona dogo Paulo Dybala akiendelea kupiga kazi Kama anayoonyesha sasa Kama baada ya miaka kadhaa basi upako Wa kiumbe huyu[Lionel Messi] anaweza kuupata.




Basi kwa ujumla Paulo Dybala itakuja kumridhi mikoba ya Mu-argentina mwenzie kiumbe cha ajabu[Messi]

Dybala mashine
 
Duuuuhh ....wewe Jamaa utakuwa na chuki binafsi "" ..nikweli paulinho hafikii viwango vya xavi wala iniesta lakini unasahau kuwa hao watu uliowataja ni gifted hawakuwa na viwango vya kawaida kiuchezaji ....na sio kweli kwamba "" p..hawezi hata kutuliza Mpira uneshaangalia idadi ya pasi za magoli na mabao aliyoyafunga msimu ulioisha "".....? .... na barca walimchukua Jamaa kama mchezaji wa kipindi cha mpito sio mchezaji wa kumtegemea kwa kipindi cha kuanzia miaka 5s......wamefanya hivyo huku wanajipnga kutafuta mbadala stahiki wa hao manguli

Vipi twambia Alipoishia Paulinho.
 
Back
Top Bottom