Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Hamnipati ng'ooo.....labda mnitumie Interpol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mumkomeHayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Mambo aliyodili nayoHayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Tutampata tu, wacha kwanza tumalizane na mbowe.
Kumbee mnaenda hatua KWA hatua na baada ya kumalizana na makonda ,next n nani maana umesema umalizane na mbowe kwanzaTutampata tu, wacha kwanza tumalizane na mbowe.
Hahah usijali ni hatua kwa hatua.Kumbee mnaenda hatua KWA hatua na baada ya kumalizana na makonda ,next n nani maana umesema umalizane na mbowe kwanza
Unadanganya isaidie nini?
Yamemkuta ya maji kupwa na maji kujaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si alikuwa anamcheka Tundu Lissu
Anafuata yule mchoma masoko aliyetajwa na kigogo.Kumbee mnaenda hatua KWA hatua na baada ya kumalizana na makonda ,next n nani maana umesema umalizane na mbowe kwanza
Kwamba hadi sasa ni tatu bila hakuna aliemkamata wala kumfanya lolote...... Tanzania nzima nyie ni mademu tu kwake hakuna kidume wa kumuwajibisha.Hayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?