Paulo Makonda huyoo ndani ya pipa

Paulo Makonda huyoo ndani ya pipa

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Hamnipati ng'ooo.....labda mnitumie Interpol

FB_IMG_16448702419115606.jpg

 
Hayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Mambo aliyodili nayo
Akiwa RC

Madawa ya kuevya

Ushoga,eti

Akina mama waliotelekezwa na waume zao

Haya yote alikuwa anajitafutia umaarufu kwa nguvu
 
Picha ya zamani hii.

Aliendaga kushangilia Taifa stars ilikuwa inacheza japo tulifungwa

Sasa hivi jeuri ya kukaa business class aipate wapi?
 
Hayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Kwamba hadi sasa ni tatu bila hakuna aliemkamata wala kumfanya lolote...... Tanzania nzima nyie ni mademu tu kwake hakuna kidume wa kumuwajibisha.
 
Back
Top Bottom