Paulo Makonda huyoo ndani ya pipa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si alikuwa anamcheka Tundu Lissu
 
Hayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Mambo aliyodili nayo
Akiwa RC

Madawa ya kuevya

Ushoga,eti

Akina mama waliotelekezwa na waume zao

Haya yote alikuwa anajitafutia umaarufu kwa nguvu
 
Picha ya zamani hii.

Aliendaga kushangilia Taifa stars ilikuwa inacheza japo tulifungwa

Sasa hivi jeuri ya kukaa business class aipate wapi?
 
Hayo madole yake alivyoyaweka ni ishara ya nini?
Kwamba hadi sasa ni tatu bila hakuna aliemkamata wala kumfanya lolote...... Tanzania nzima nyie ni mademu tu kwake hakuna kidume wa kumuwajibisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…