Paulo Makonda, Ondoka Misri timu ipate hata Point 1

Mawakili gani watakaomuwakilisha Tundu Lissu katika kesi ya kufutiwa ubunge?
 
Keshatuharibua timu yetu!! na leo ni 4 mtungi mambegesa.
 
Sikubaliani na ushauri wako, acha nile hewa ya mapiramidi huku!!
hahahahah
 
Bashite najisi aliyoitia hii timu nafikiri itatoka baada ya miaka 39 mingine.
 
Ushindi wenyewe tulipewe na Uganda kama andazi

Safari ya CCM Stars kwenda Afcon ni sawa na div 0 kung’ang’ania kwenda University. First Year anashindwa kupata 120 credits za kwenda 2nd year.
Bashite huyo
 
Tatizo tuna timu mbili
Taifa Star na
Taifa Stars


Hiyo waliyopekeka ni Taifa Star aka Bashite star
 
Kwani bado yuko misiri?
 
Una akili za nusu bei kweli.....kwa msaada wa Nseven tu ndio tumefika hapo

Zaidi ya hapo Bashite ni Ziro kwa kiswahili cha Ntwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…