Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Habari zenu wakuu.
Swali langu ni kuhusu hizi ofisi Tanzania. Kwanini pawn shops nchini mwetu hazina umaarufu. Na ni mara chache kuzipata kabisa hata sehemu za mijini.
Shida nini? Mfumo wa maisha au sheria zetu haziruhusu? Kama zipo naombeni mnifumbue macho. Sehemu kama Kariakoo nilitegemea ingekuwa nazo za kutosha.
Natanguliza shukurani.
Swali langu ni kuhusu hizi ofisi Tanzania. Kwanini pawn shops nchini mwetu hazina umaarufu. Na ni mara chache kuzipata kabisa hata sehemu za mijini.
Shida nini? Mfumo wa maisha au sheria zetu haziruhusu? Kama zipo naombeni mnifumbue macho. Sehemu kama Kariakoo nilitegemea ingekuwa nazo za kutosha.
Natanguliza shukurani.