Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fafanua zaidi hapa mkuuSijawahi kuelewa yale makato aisee..
Nilishwahi kuuliza nikaambiwa ila sikuelewaa..
Nilipewa tu mfano,
Eti Hata kama mna basic salary moja ila kama mmoja anakatwa loan board mwingne hakatwi, basi makato mtatofautiana.
Wizi tu hamna cha maana unapewa pesa halafu wanaikata tena.Sijawahi kuelewa yale makato aisee..
Nilishwahi kuuliza nikaambiwa ila sikuelewaa..
Nilipewa tu mfano,
Eti Hata kama mna basic salary moja ila kama mmoja anakatwa loan board mwingne hakatwi, basi makato mtatofautiana.
The more educational level u have the more money u are going to be paid as employee (Salary) and the more taxes from gavo gonna take from you ipo hvyo.Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000.
Je, Kodi hizi zina uwiano Gani na kipato chetu watumishi wa serikali?
Hivi ilishapanda kutoka single digit?Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000.
Je, Kodi hizi zina uwiano Gani na kipato chetu watumishi wa serikali?
Na walisema PAYE ni single digit halafu tazama huyu👇Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000.
Je, Kodi hizi zina uwiano Gani na kipato chetu watumishi wa serikali?
Wanakata 18% mkuuHivi ilishapanda kutoka single digit?
Nafikiri walikuwa wanakata 9%
Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000.
Je, Kodi hizi zina uwiano Gani na kipato chetu watumishi wa serikali?
Ni balaa sana nimeona Sheria inasema PAYE inaweza kukatwa kuanzia 0-30%.Na walisema PAYE ni single digit halafu tazama huyu👇
View attachment 3060033
Huyu alitakiwa kulipa PAYE ya 144,000 ila analipa x2 = 18%