Pay as you earn inafikirisha na kuumiza kichwa sana!

Pay as you earn inafikirisha na kuumiza kichwa sana!

Nimelinganisha salary slip za watu wawili tofauti, mmoja ana basic salari sh 2100000 analipa Kodi sh 412000, na mwingine basic salary sh 1100000 analipa Kodi sh 101000.

Je, Kodi hizi zina uwiano Gani na kipato chetu watumishi wa serikali?

Sijui kama wanania ya kumsaidia mfanyakazi.........kwani ndiye analipa kodi kubwa kuliko mabiashara mengi makubwa. Ukiongezwa mshahara kodi ya paye inakuwa inaweza kuwa mara mbili na pengine zaidi ili uendelee kupokea kidogo...
Wangetoa kile kiasi wanachojumlishia kwenye asilimia; wafanyakazi nao wangefurahia mishahara yao
 
Na walisema PAYE ni single digit halafu tazama huyu👇

View attachment 3060033

Huyu alitakiwa kulipa PAYE ya 144,000 ila analipa x2 = 18%
Screenshot_20240803-143913.png
njia rahisi ni kingia kwenye website ya tra unapata PAYE kirahisi
 
Tunakumbushana tu. Watumishi wa serikali hawalipi kodi. PAYE kutoka kwa watumishi wa serikali siyo kodi.
 
Nawakumbusha tu wabunge wanao pitisha hizi hawa katwi hii kitu
 
Na walisema PAYE ni single digit halafu tazama huyu👇

View attachment 3060033

Huyu alitakiwa kulipa PAYE ya 144,000 ila analipa x2 = 18%
PAYE hawachukui 9% ya mshahara wako, Bali Kuna formula inayotumika, hiyo 9% ni sehemu ya hiyo formula. Mshahara unavokua mkubwa na Kodi inaongezeka maradufu.
 
PAYE hawachukui 9% ya mshahara wako, Bali Kuna formula inayotumika, hiyo 9% ni sehemu ya hiyo formula. Mshahara unavokua mkubwa na Kodi inaongezeka maradufu.
Waliposimama majukwaani kusema wanawakata kwa single digit walikuwa wanahadaa
 
Back
Top Bottom