ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Halafu aje yule wa liverpool si ndio?
Nechi 42 hajapoteza umfukuze kwa lipi?
Cha kufanya ni kurekebisha mapungufu sio kocha
Tunahitaji beki wawili na straika mmoja kariba ya fiston
Hivyo wageni watatu inabidi wapishe nafasi
Timu ipo vizuri kocha yupo vizuri
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nechi 42 hajapoteza umfukuze kwa lipi?
Cha kufanya ni kurekebisha mapungufu sio kocha
Tunahitaji beki wawili na straika mmoja kariba ya fiston
Hivyo wageni watatu inabidi wapishe nafasi
Timu ipo vizuri kocha yupo vizuri
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app