Baadaye Tunalaumu Na Kuisimanga Serikali Kila UchaoNa wizi.
It has to do with control and that is role of senior management, kila mwaka report ya CAG inaonesha weak spots."Asilimia 60 ya watendaji wa serikali uwezo wao ni mdogo sana kiutendaji." — Profesa Mussa Assad
Vyama vyote vya siasa vifutwe nchi ibaki bila chama.Hello!
Natanguliza shukrani kwa serikali kwa uamuzi makini wa kufuta baadhi ya taasisi zake na zingine kuziunganisha.
Nadhani ni mwaka jana kama sijakosea nilileta uzi wa kutaka serikali ifute au iunganishe baadhi ya taasisi zake kwakuwa zingine zimekuwa mzigo na zingine kukosa ufanisi.
Few months later nikasikia Mh. Rais ALISEMA kuwa ifanyike inspection ya mashirika ya umma ili ikiwezekana mengine yafutwe au yaboreshwe.
Jana tumeona utekelezaji.
Thanks.
NIDA ndio iliongoza kupigiwa kelele kwenye ule uzi, sasa natumaini mambo yamekaa sawa baada ya kuwekwa kapu moja na RITA.
Ila bado msako uendelee ,
Mimi kero yangu kwa sasa ni hizi mamlaka za usambazaji maji.
Dar es salaam miji mipya karibu yote haina maji.
Zifumuliwe haraka .
Haiwezekani leakage ya maji idumu kwa miaka 2 huku wao wanalipwa mshahara.
Nazijua leakage 2 ambazo zinaashiria kuwa hizi mamlaka zimejaa matahira wanaojua kunyoosha nguo na wanaomiliki ATM card mfukoni.
TANROADS + TARURAKwangu hata bunge ,mahakama ,na jeshi la polisi achana na vi-taasisi uchwana kama TANESCO sijui Tan-road
USSR
Ila kwa Kitila na wenzake, tatizo ni katiba yetu. Tumesema waziri ni lazima awe mbunge, na mbunge ni mtu yoyote aliyegombea anayejua kusoma na kuandika na awe na miaka 21+, kwa hiyo ni ngumu sana kukwepa kupata watu wajinga wanaojali pesa kwa nafasi hizo za ubunge na uwaziri.Kitila kapiga porojo bungeni kuhusu dipiwedi kapewa nafasi ya uwaziri wa sector ya (uchumi/biashara) japo hana uwezo nayo.
Kwenye hayo mashirika yaliyounganishwa.sasa mnaotaka mashirika yavunjwe na kuungwa mmejiuliza watoto wenu wanaajiriwa wapi kesho?
Wala usiwe na hofu, ccm miaka nenda rudi inaongoza nchi huku ikiwa na watu wenye uwezo mkubwa marekani,nchi za ulaya zenyewe zinasubiriHuyo Kitila na Nehemia hawajui tofauti ya cost centres and business centres; let alone their impact to the government.
Hivi kwa akili zako timamu a national strategy inaandikwa na kila poyoyo mwenye Phd au sakapoko anaefundisha
Hawajui hata source ya kuandika strategy ni data na qualified people are those with management qualification.
Do they even know what it takes to write a strategy.
Kwenye vichwa vyao upuuzi wa Bashe na Makamba wa kuchezea hela ni strategy.
Just a pathetic country; today I place my blame on ‘Jim Beam’.
Ni kwamba nchi inaongozwa na watu wasio na uwezo.
Inafika hatua mpaka mtu unajiona odd aiwezekani jamii ikawa na watu vihiyo hivi.
The nonsense with this country is beyond me
@FaizaFoxy anawashangilia sana dipiwodi mbona na anasema bandariTatizo ni incompetent people on the top.
Kitila kapiga porojo bungeni kuhusu dipiwedi kapewa nafasi ya uwaziri wa sector ya (uchumi/biashara) japo hana uwezo nayo.
Kwa nafasi yake hata kama hayo mambo yanamzidi kimo ni maswala ambayo as a politician anachukuwa nusu lawama; Realistically in government politics the bulk of his decision making depends on the quality on senior civil servants wizarani.
Sasa msingi wa kuandika strategy ni government goals, data za serikali na dunia to what they want to achieve, external environment, internal environment, addressing strategic risk, mitigation strategy to the risk and so forth.
Hayo ni mambo ambayo yanatakiwa kuandaliwa na makatibu wakuu, with input ya wataalamu wa wizara depending on strategic planning, pamoja na wataalamu wa taasisi nyingine za serikali kulingana na serikali inalenga kufikia nini katika hiyo miaka ijayo hadi 2050 and how to get there.
Sasa unawezaje kuokota watu tu wa nje waandae mipango ya serikali; TISS wana kazi gani.
This is why bila ya pombe siwezi ingia JF, bora uangaike na mambo ya kijijini; it’s just pathetic. Eventually inabidi ukubali a majority ya watu wenye nafasi za juu serikalini are clueless kuhusu dunia na uwezo wao mdogo sana.
Why stress yourself,
That’s not how people do things in the developed world waafrica tuna upumbavu wetu.
Bila shaka wewe ni KADA wa SISIEMU.Baadaye Tunalaumu Na Kuisimanga Serikali Kila Uchao
Muda Wa Kutoa Huduma Utahangaishwa Mpaka Chozi La Lawama Liende Serikali
Constitutionally nchi inaongozwa na chama cha siasa kilichopata ridhaa ya wananchi.Ila kwa Kitila na wenzake, tatizo ni katiba yetu. Tumesema waziri ni lazima awe mbunge, na mbunge ni mtu yoyote aliyegombea anayejua kusoma na kuandika na awe na miaka 21+, kwa hiyo ni ngumu sana kukwepa kupata watu wajinga wanaojali pesa kwa nafasi hizo za ubunge na uwaziri.
Tungeweza kwa kupunguza mishahara ya wabunge iwe kama ya wakuu wa idara za serikali (halmashauri), tungepata wabunge na mawaziri wenye dhati ya kutumikia wananchi.
Wasilipe wafanyakazi mishahara. Wafanyakazi walipwe kamisheni kwa kazi wanazofanya.Hapo kwa (nida na Rita) wasiishie ku-unganisha tuu ingekuwa vyema kama wangebinafsisha kabisa ili kuongeza ufanisi .
Hii nimeielewa lakini pia wapunguze ubabaishajiWasilipe wafanyakazi mishahara. Wafanyakazi walipwe kamisheni kwa kazi wanazofanya.
Mtu ahesabiwe idadi ya vitambulisho alivyovizalisha kwa mwezi ndio alipwe kamisheni yake. Huu ujinga wa kulipana mishahara unafanya watu warelax, wasifanye kazi maana mwisho wa mwezi watakinga tu
Huyo Ajuza anasumbuliwa na udini ukishamzoea, rarely she applies logic in her reasoning.@FaizaFoxy anawashangilia sana dipiwodi mbona na anasema bandari
Sahv kuko vizuri
Ova