Hakuna course rahisi ndugu lakini wakati you can't bet on biology, yo can do so in mathematics! The problem with PCM ni kwamba, inabidi ufanye vizuri physics and mathematics... physics na yenyewe wakati mwingine inapenda sifa! Wakati PCM ndo hivyo, wakati you can't bet on Biology lakini Chemistry (msingi mwingine wa PCB) nayo ukisoma una uhakika wa kufaulu kuliko uhakika uliopo kwenye physics! So, PCM ni mathematics & physics; maths ni rahis kufaulu wakati sometime physics huwa inapenda sifa.... PCB ni Chemistry na Biology; una uhakika wa kufaulu Chemistry wakati Biology si tu kwamba linapenda sifa, don' better either hata baada ya kuwa umeshafanya paper... unaweza kutoka chumba cha mtihani ukajua ile ni B kabisa (sio B za akina Mulugo system) unashangaa matokeo yametoka una D kama sio E kabisa!!
But all in all, kama una matatizo kwenye numbers, just opt PCB na kama ni mtu ambae huja-settle, kichwa kina mipango elfu moja kidogo, opt PCM!