PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

hauzeeee45

Member
Joined
Jul 3, 2024
Posts
23
Reaction score
71
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
 
Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.
Huyu anakuwa na uchungu na hajabweteka na matokeo hivyo uwezekano wa kufaulu ni mkubwa
Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.
Huyu kama hakubweteka na matokeo ya kidato cha 4 basi inawezekana necta alibet Sehemu akasoma na ikaja hivyo hivyo kama alivyo soma
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
physics na hesabu ni masomo yanayo enda pamoja tofauti physics na biology.
Nakupa A ya hesabu ni simple kuliko A ya biology
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
physics na hesabu ni masomo yanayo enda pamoja tofauti physics na biology.
Nakupata A ya hesabu ni simple kuliko A ya biology.
 
Huyu anakuwa na uchungu na hajabweteka na matokeo hivyo uwezekano wa kufaulu ni mkubwa

Huyu kama hakubweteka na matokeo ya kidato cha 4 basi inawezekana necta alibet Sehemu akasoma na ikaja hivyo hivyo kama alivyo soma
Kwa nadharia yako watu wenye 2 wakisoma PCB watapata vijiti kama watu wenye 2 waliosoma PCM!?
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
In short ni hivi ni ngumu sana kutusua masomo yote kwa PCB kuliko PCM
Biology kupata A sio mchezo ndugu yangu, ila Pure Mathematics📐📊📚 pamoja na Physics kupata A sio ngumu sana kama ilivyo kwa Biology
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
Kwa hiyo ndio umedraw conclusion?

Yaani wote wanasoma PC tofauti ni bio na Math

Bio ni somo la kusoma huku umerelax,

NB
Kufanya vizuri level moja hakumaanishi lazima ufanye vizuri level nyingine and vice versa is true

Halafu kwa sasa advance ni rahisi kufaulu kuliko form four, ni rahisi kupiga one kuliko form four
 
physics na hesabu ni masomo yanayo enda pamoja tofauti physics na biology.
Nakupa A ya hesabu ni simple kuliko A ya biology
Hesabu ni ngumu kuliko Biology

Refer na O level, ipi ni rahisi kupata A kati ya math na biology?

Advanced biology ina Shida kwenye kujibu, ila ni mchele sana kwenye kusoma
 
Bio ni somo la kusoma huku umerelax
PCB practical zipo 3 physics, chemistry na biology

PCM practical zipo 2 tu physics na chemistry hakunaga practical ya mathematics kwa hio mtu anaesoma PCM anarelax sana kuliko anaesoma PCB sababu wa PCB ni mtu wa practical zaidi hususani kwenye hio biology ambayo hujui ni ipi possible prac itakayotoka sasa usipomeza michoro na concept ukakutana na sungura mweupe na hujui jinsi ya kumpasua lazima usande
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
Hiyo sio fact

Sisi tuliingia advance huku class yetu ilikuwa na watu wengi waliopiga one kali hasa kutoka private

Kutoka darasa hilo hilo (same combination) wale waliopata one kali tulikuwa tunawakimbiza na mwisho zillipatikana one tatu, wote ni kutoka day school O level na tulikkuwa na ufaulu wa kawaida (one za mwisho, two)

Hizo combination zinahitaji watu wa kazi,

Japo kwa sasa hazitishii sana
 
Back
Top Bottom