kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Biology inaweza kuwa chini,Takwimu za ufaulu wa Biology na Advanced math zikoje? KWA ujumla
Shida ya Biology ipo kwenye kujibu
Unafanya mitihani unasema napata A yakirudi matokeo una C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biology inaweza kuwa chini,Takwimu za ufaulu wa Biology na Advanced math zikoje? KWA ujumla
Wewe unasema tu Ila hujui unachosema, kitu usichokijua biology kujibu kuotea ukibugi umebugi mazima mfano mdogo kuna namna na trick za kupasua Mende ukibugi tu Mzee umeharibu show ushapoteza marks na mbaya zaidi pepa la prac ndio lina marks nyingi kuliko theory kazi kwakoAdvanced biology ina Shida kwenye kujibu, ila ni mchele sana kwenye kusoma
Hio ni physics na chemistry sio biology, hapo umeingia Chaka biology haina formula za kumezeshwa kwenye scientific calculator km ilivyo physics na chemistry kwa hio hapo umeenda chakaBiology inaweza kuwa chini,
Shida ya Biology ipo kwenye kujibu
Unafanya mitihani unasema napata A yakirudi matokeo una C
Kidogo hapo umeongea point km unajijua Wewe ni mzeembe usiguse hizo combHizo combination zinahitaji watu wa kazi,
Distribution ya marks ikoje?Wewe unasema tu Ila hujui unachosema, kitu usichokijua biology kujibu kuotea ukibugi umebugi mazima mfano mdogo kuna namna na trick za kupasua Mende ukibugi tu Mzee umeharibu show ushapoteza marks na mbaya zaidi pepa la prac ndio lina marks nyingi kuliko theory kazi kwako
Prac ndio Ina uzito mkubwa kuliko paper 1&2Distribution ya marks ikoje?
Kwamba paper 1,paper 2 ziwe na mchango mdogo kuliko practical?
Mf mtu A apige 90 paper 1,90 paper 2 ,10 practice
Mtu B apige 10 paper 1,10paper 2 ,90 practice.
Nani atakuwa na combined marks kubwa?
A Atapata marks ngapi?Prac ndio Ina uzito mkubwa kuliko paper 1&2
Advanced chemistry inatumia application ya hesabu za O level, labda chemical kinetics ambayo sio lazima kuderive order of reactionsPCB sio mchezo yani kupata A ya Biology ni ngumu kweli kweli na masomo yenyewe hayana ushirikiano tofauti na PCM Purre Mathematics inakuwa applied kwenye Physics na Chemistry pia.
Kwa hiyo vile vimarks 3 vya dissection na 2 za mchoro ndio hoja?Hio ni physics na chemistry sio biology, hapo umeingia Chaka biology haina formula za kumezeshwa kwenye scientific calculator km ilivyo physics na chemistry kwa hio hapo umeenda chaka
Kwa kukufungua macho scientific calculator ni DESA la wanaosoma PCM ukisoma PCB kwenye physics na chemistry na BAM utaingia na calculator hio unaweza uka DESA formula baadhi sometimes hata majibu ya moja kwa moja especially kwenye prac za physics na chemistry ni kupachika tu na kujaza majibu moja kwa moja tena unaweza hata usizifanye prac zenyewe
Ila biology huwezi kudesa hauingii na scientific calculator mule lab ni Wewe na dissection kit yako Mkononi sio calculator na lazima uonekane unafanya prac ndio upewe marks yaan kufanya tu kule ukaonekana umepata unakula marks na unatoa majibu km usipofanya na ukionekana hujafanya unakula zero hata km umejibu umejibuje na huku hujafanya? sijui unanielewa?
Kwenye prac za physics na chemistry Wewe ufanye usifanye Wewe kikubwa ujaze majibu tu yaliyo sahihi na majibu yaliyo sahihi yanakwenda na formula zilizo sahihi na formula unaweza kuziweka kwenye calculator zote ukaingia nazo safi kabisa hakuna anaekuja kukagua eti heat umepata ngapi au sijui umeongeza Maji kimetokea nini aone ndio akupe marks hio hakuna kwa hio ni Wewe kuzuga tu na thermometer lako unajifanya unachemshachemsha Maji basi mchawi calculator formula unashuka majibu mchezo umeisha hio ndio PCM
Paper 1 = 40 marksDistribution ya marks ikoje?
Kwamba paper 1,paper 2 ziwe na mchango mdogo kuliko practical?
Mf mtu A apige 90 paper 1,90 paper 2 ,10 practice
Mtu B apige 10 paper 1,10paper 2 ,90 practice.
Nani atakuwa na combined marks kubwa?
Acha uongo, Masomo hayo unajikuta umesoma wewe tu?Prac ndio Ina uzito mkubwa kuliko paper 1&2
Ukichora na hujafanya chochote unapigwa zero, elewa hilo ni tofauti na physics na chemistry na pure maths formula unazipaki tu kwenye calculator physics na chemistry ukiingia lab yule invigilator hata usipofanya ukaendelea kujaza na kuchora mamichoro yeye hana time na wewe hakagui sijui umechemshaje maji sijui umemchanganya vipi maji na chemicals sijui heat uliyoonyesha ni sahihi au sio sahihi hakagui yaan haukaguliwi wewe ni kucheza tu na calculator yako ambayo umepaki formula za kutosha mradi utumie formula sahihi na zikuletee majibu sahihi umeula yaan umetoboa Ila kwenye biology lab lazima uonyeshe ulivyofanya ndio uhamie kwenye mamichoro unakaguliwa na invigilator lazima akague ulivyofanya ukichora na hujafanya chochote unapigwa zero kotekote hata km umechora umechora na huku hujafanya, sijui unanielewa?Jambo kubwa pale ni mchoro mzuri, ukichora vizuri ushatoboa.
Hio hio 20 sio ndogo hivi we unaichukulia poa hio 20 kwenye 50 unaiona ndogo?Sasa ukitumia nguvu kubwa kutetea marks 20 unaonekana hujui unachokitetea
..am getting some chills nikiyakumbuka yale mavitabu na vitini vya kina mgote, sir unga na wengineo miaka hiyo.