PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

Takwimu za ufaulu wa Biology na Advanced math zikoje? KWA ujumla
Kwenye biology hakuna calculator kwenye biology hakuna cheating kwenye biology hakuna ujanja ujanja wa kwenye Maths advanced maths mchawi scientific calculator mtu wa advanced maths mpokonye calculator utashangaa kuona anazungusha duara
 
Kwenye biology hakuna calculator kwenye biology hakuna cheating kwenye biology hakuna ujanja ujanja wa kwenye Maths advanced maths mchawi scientific calculator mtu wa advanced maths mpokonye calculator utashangaa kuona anazungusha duara
Apa uongo mkuu calculator haina uhitaji huo unazan af naona Mme base kweny cheating badala ya kusoma mfano paper 2 trig,complex, differential,code 2,proba baadhi ya maswali, algebra calculator haina uladhima kabisa njoo paper 1 integration, differentiation,set,code 1, hyperbolic, function ata bila calculator unafanya
 
Apa uongo mkuu calculator haina uhitaji huo unazan af naona Mme base kweny cheating badala ya kusoma mfano paper 2 trig,complex, differential,code 2,proba baadhi ya maswali, algebra calculator haina uladhima kabisa njoo paper 1 integration, differentiation,set,code 1, hyperbolic, function ata bila calculator unafanya
Mchawi calculator waulize waliosoma Pure Wewe upcoming beginner haujui
 
Kwenye biology hakuna calculator kwenye biology hakuna cheating kwenye biology hakuna ujanja ujanja wa kwenye Maths advanced maths mchawi scientific calculator mtu wa advanced maths mpokonye calculator utashangaa kuona anazungusha duara
Most of bios takers wako unga Sana kwenye math wametoka olevel na c na d asilimia kubwa 1 ya 3,4,5 PCB unakuta ad bam ana A au B coz wanakua wako commited kwel na shule hio ndo Siri ya kufaulu PCB
 
Mchawi calculator waulize waliosoma Pure Wewe upcoming beginner haujui
Nmesoma pcm naingia mwaka WA 4 engineering 😁 ndo maana nmekutajia na topic trig calculator unafanyia nn n marks 20 izo,complex unaeza solve kwa caluu lkn ndani ya topic ushakua kusolve kuztoa kwny polar kwenda complex form na kinyume unaeza solve bila caluu marks 20 izo proba part 1 ina combination na permutations zna formula zake no need ya caluu,part Two kusolve pdf Una integrate caluu ya nn?, expectations ina formula,variance ina formula, algebra NI mbinu zako Tu ujanja ujanja hainaga namba Caluu ya nini, differential ni trick Tu type one na two application ndo zile za decay kama kwny modern au rate kwenye Chemia Caluu unatumia kusolve Tu e^(x) ila vingn unafanya mwny
 
Nmesoma pcm naingia mwaka WA 4 engineering 😁 ndo maana nmekutajia na topic trig calculator unafanyia nn n marks 20 izo,complex unaeza solve kwa caluu lkn ndani ya topic ushakua kusolve kuztoa kwny polar kwenda complex form na kinyume unaeza solve bila caluu marks 20 izo proba part 1 ina combination na permutations zna formula zake no need ya caluu,part Two kusolve pdf Una integrate caluu ya nn?, expectations ina formula,variance ina formula, algebra NI mbinu zako Tu ujanja ujanja hainaga namba Caluu ya nini, differential ni trick Tu type one na two application ndo zile za decay kama kwny modern au rate kwenye Chemia Caluu unatumia kusolve Tu e^(x) ila vingn unafanya mwny
Mimi nimepiga mpaka EGM CBG PCM PCB kwa hio tusichukuliane poa ninapokwambia mchawi calculator usinione kiazi
 
Hio ni physics na chemistry sio biology, hapo umeingia Chaka biology haina formula za kumezeshwa kwenye scientific calculator km ilivyo physics na chemistry kwa hio hapo umeenda chaka

Kwa kukufungua macho scientific calculator ni DESA la wanaosoma PCM ukisoma PCB kwenye physics na chemistry na BAM utaingia na calculator hio unaweza uka DESA formula baadhi sometimes hata majibu ya moja kwa moja especially kwenye prac za physics na chemistry ni kupachika tu na kujaza majibu moja kwa moja tena unaweza hata usizifanye prac zenyewe

Ila biology huwezi kudesa hauingii na scientific calculator mule lab ni Wewe na dissection kit yako Mkononi sio calculator na lazima uonekane unafanya prac ndio upewe marks yaan kufanya tu kule ukaonekana umepata unakula marks na unatoa majibu km usipofanya na ukionekana hujafanya unakula zero hata km umejibu umejibuje na huku hujafanya? sijui unanielewa?

Kwenye prac za physics na chemistry Wewe ufanye usifanye Wewe kikubwa ujaze majibu tu yaliyo sahihi na majibu yaliyo sahihi yanakwenda na formula zilizo sahihi na formula unaweza kuziweka kwenye calculator zote ukaingia nazo safi kabisa hakuna anaekuja kukagua eti heat umepata ngapi au sijui umeongeza Maji kimetokea nini aone ndio akupe marks hio hakuna kwa hio ni Wewe kuzuga tu na thermometer lako unajifanya unachemshachemsha Maji basi mchawi calculator formula unashuka majibu mchezo umeisha hio ndio PCM
Mkuu prac wote tulikua tunakubari ndo Msaada now unasema prac ngumu prac za bios unasema lazima umpasue ndo uchore mtu anaetaka PCB kweli ushindwe kupasua? Apo michoro mlishakalili yote toka 4m5 unahitaji kupasua Tu aone mkaguzi vingn unatoa kichwani,foodtest majibu Huna yanajulikana, classification Ile no theory kabsa sasa umeletewa Tu uone kitu uandike
Tuje physics unasema ni formula kwny calculator Ivo mtu unaangaika na formula za pendulum bob unajua kabisa jibu linakuja gravity,unaangaika na formula za current yn kufunga betri na multimeters na kuobserve NI kazi, resistance of wire,young modulus ni kitu cha kufoji? Mbona watu walkua wanaenjoy kufanya prac zaidi
 
Mimi nimepiga mpaka EGM CBG PCM PCB kwa hio tusichukuliane poa ninapokwambia mchawi calculator usinione kiazi
Kama ulkua unapenda kuforge sawa ila wazee WA kupenda maswali magumu ya pure unashuka nayo Tu mwenyew unaenjoy kweli pcm sio ngumu Ivo Ila haitegemei caluu
 
Mkuu prac wote tulikua tunakubari ndo Msaada now unasema prac ngumu prac za bios unasema lazima umpasue ndo uchore mtu anaetaka PCB kweli ushindwe kupasua? Apo michoro mlishakalili yote toka 4m5 unahitaji kupasua Tu aone mkaguzi vingn unatoa kichwani,foodtest majibu Huna yanajulikana, classification Ile no theory kabsa sasa umeletewa Tu uone kitu uandike
Tuje physics unasema ni formula kwny calculator Ivo mtu unaangaika na formula za pendulum bob unajua kabisa jibu linakuja gravity,unaangaika na formula za current yn kufunga betri na multimeters na kuobserve NI kazi, resistance of wire,young modulus ni kitu cha kufoji? Mbona watu walkua wanaenjoy kufanya prac zaidi
We Jamaa kichwa ngumu hio Engineering unasoma Chuo gani UDSM au DIT au MUST?
 
We Jamaa kichwa ngumu hio Engineering unasoma Chuo gani UDSM au DIT au MUST?
Mkuu haijalishi chuo hoja zako ni nyepesi Sana huwezi undermine pcm kwa PCB izo comb zote zinataka mtu alie commited ila sio kusema pcm ni Caluu ndo mchawi pcm inataka mtu mbunifu kichwa kinachanganua mambo faster ndo maana Chemia ndo hua tatizo especial organic kwasabu pcm hawazpend kukali ila nikikumbika jinsi nlikua natafta maswali magumu nasolve wewe unasema mchawi Caluu naona maajabu.pcb ukimeza bs unafaulu ntajie kitabu cha pure chenye kila kitu?
 
ndo maana Chemia ndo hua tatizo especial organic kwasabu pcm hawazpend kukali
Umejimaliza mwenyewe kumbe unajua alafu unajifanya haujui kwa hio usifananishe hizo mtu mbili ni mtu tofauti kabisa na ninachokwambia sio nabunibuni tu naelewa kijana
 
PCM iachwe tu yenyewe. Huo moto sio poa. Kuifananisha Mathematics na Biology ni ukosefu wa nidhamu.
 
Umejimaliza mwenyewe kumbe unajua alafu unajifanya haujui kwa hio usifananishe hizo mtu mbili ni mtu tofauti kabisa na ninachokwambia sio nabunibuni tu naelewa kijana
Hahaha I'm not biased ndo maana nmeongea Ivo, kukalili NI Tofauti na kuelewa Mzee pcm inataka mtu kuelewa swali moja halifanani na jingine na nlikua sipend kukalili ndo maana prac nlikua nafanya kulko kuangaika na formula kama ingekua PCB mchawi bios tungekua tunaona watu Wana physics-A,chem -A af bios C au D au E na bam -A au ata BBC nyingi lakini angalia one za PCB unakua mtu kafaulu bios na chemia zaid kulko physics na bam ana d,e au s kabisa
Kwanz kubari Kati ya hayo masomo physics ni mziki mwingine afu Ayo mengine ni commitment yako Tu ila sio kusema pcm ni nyepesi
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
sasa tofauti si ni somo la Mathematics tu ?
kwanini wote wasipate A za Phys na Chem?
 
Maths mchawi calculator biology mchawi UBONGO wako, sijui unanielewa?
Math mchawi ubongo wako Mzee calculator ni kwenye statistics na liner ambayo asilimia kubwa huwa hawafanyi linakula mda mengin NI ubongo wako kuchanganua Tu. Io calculator Ndo nakupinga
 
kukalili NI Tofauti na kuelewa
Ndio maana nakwambia usifananishe hizo people 2 hazifanani PCM cheating kwa kwenda mbele hayupo tayari kuyapakia madude kichwani PCB ni Wazee wa kupakia hakuna janjajanja za kuingia na kidesa Mambo yanashuka directly from within the middle brain, sijui unanielewa?
 
Math mchawi ubongo wako Mzee calculator ni kwenye statistics na liner ambayo asilimia kubwa huwa hawafanyi linakula mda mengin NI ubongo wako kuchanganua Tu. Io calculator Ndo nakupinga
Maths mchawi calculator Babu acha ubishi Wewe unapishana na usichokijua
 
Back
Top Bottom