PDF lawapoteza maboya CHADEMA

PDF lawapoteza maboya CHADEMA

Watanzania wameona ATC, Nyerere (Stiglers Gorge) HEP, SGR, Hospitali n.k. Nani ahangaike na wasanii wa kisiasa?

Usiwe mjinga. Kodi wanatoa wananchi na madeni ya nje wanalipa wananchi kupitia makusanyo. Na huyo mama yenu anachaguliwa na wananchi . Kwa maana nyingine pesa ni za wananchi na serikali inawekwa na wananchi, na wananchi ndio ma bosi wa huyo mama yenu. Huyo Mama yenu ni mfanyakazi. Ndio maana nikasema jaribu kupunguza ujinga.
 
1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.

Hii ndio tofaut ya vijana wa ccm na vijana wa chadema

And sometimes namwelewa Rais Kwa kuendelea kuteua watu wale wale kila siku because akili za vijana wengi wa CCM ndio ziko hivi so hakuna kiongozi anaweza kuteua kijana wa akili kama hii aje kuwa kiongozi
 
1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Laiti mngelijua yapasayo….
Bara itageuka kuwa maskini wa kutupwa
Msiangalie chama tuangalie kesho yetu na watoto wetu na wajukuu zetu upande wa bara..

Tutavuna tunachopanda
2 yrs down the road tutakuwa kama Congo

Tusishabikie kufurahisha waketio mabarazani wakinywa mvinyo na kugonganisha bilauri

Itetee kesho yako mwananchi mmbara
 
1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Kwanza jina lako michewen.. moja kwa moja ni wa kuleee alipotoka chura kiziwi wenu. Umeandika ujinga fala ww. CDM na pdf la kazi gani yani waache kujadili mambo ya muhimu wajadili pdf la chief mzuzuraji! Cdm wana akili sana sio lumumba slaves.
 
Back
Top Bottom