econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mnasindikiza wagombea wa CCM. Bora mngeenda kulima
Unaongea huku umejikinai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnasindikiza wagombea wa CCM. Bora mngeenda kulima
Mbona Mkoloni alijenga Reli ya Kati Bandari Sewage System nk. Lakini tulimuondoa?!Watanzania wameona ATC, Nyerere (Stiglers Gorge) HEP, SGR, Hospitali n.k. Nani ahangaike na wasanii wa kisiasa?
Umenena vema, CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Watanzania wameona ATC, Nyerere (Stiglers Gorge) HEP, SGR, Hospitali n.k. Nani ahangaike na wasanii wa kisiasa?
Bado yupo au kaukimbia uzi wake?!😂🤣Si ndio kazi ya serikali?. Ulitaka ajenge nani?
Watanzania wameona ATC, Nyerere (Stiglers Gorge) HEP, SGR, Hospitali n.k. Nani ahangaike na wasanii wa kisiasa?
1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Unaweza kuta Wazazi wako ni choka mbaya sana kule kijijini kwa sababu ya CCM, wewe uko busy kulamaba watawala miguu, Ujinga ni mtaji wa CCM1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Bado yupo au kaukimbia uzi wake?!😂🤣
Hako kaVocha ka kupewa kamemtokea puani😁Kakimbia zamani Sana.
Hata wajinga wenzake wa uvccm wameona aibu kusapoti upumbavu wake.Hako kaVocha ka kupewa kamemtokea puani😁
Let's us Hope kuna Watu wa aina hiyo huko UVCCM,lakini mimi naamini eidha hawajauona huu uzi au wako Bize kuchangia kwenye nyuzi za kipuuzi za Lucas Mwashambwa.Hata wajinga wenzake wa uvccm wameona aibu kusapoti upumbavu wake.
Mboe ni nani na ni mwenyekiti wa Nini huko CHADEMA!?Chadema hatumtaki Mboe. Anafosi kubaki kuwa Mwenyekiti wa maisha
Laiti mngelijua yapasayo….1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.
Ila mnamuongelea Mwamba Awadhi! Ahahahahaha!!!Hakuna mtu wa CHADEMA anaeongelea Mikeka ya kipuuzi.
Wewe na nani, anawanyima usingizi eeh!Chadema hatumtaki Mboe. Anafosi kubaki kuwa Mwenyekiti wa maisha
Tunamuongelea kwa mabaya aliyoyafanya dhidi ya Wananchi.Ila mnamuongelea Mwamba Awadhi! Ahahahahaha!!!
Kwanza jina lako michewen.. moja kwa moja ni wa kuleee alipotoka chura kiziwi wenu. Umeandika ujinga fala ww. CDM na pdf la kazi gani yani waache kujadili mambo ya muhimu wajadili pdf la chief mzuzuraji! Cdm wana akili sana sio lumumba slaves.1. PDF (mkeka) mmeuona (Chief kasepa na kijiji).
2. CHADEMA wanapotezana huko.
3. Press conference imechunda.
4. Siasa akili mtu wangu.