Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa yako itafanyiwa kaziAbubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Mbowe ni muungwana sn na ataenda hawezi kuachaAbubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Amechota mchanga au ?Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
Ananufaika weweee! Hata atukanwe anachokifanya ni biashara nzuri kuliko kuwa DJMbowe hana visasi kama hayati ndiyo maana wanamtukana lakini yupo kimya sn
Na juzi hapa walikuwa wanamtukana hasa baada ya kukutana na magufuli Kule chatto wanasiasa ni watu wanafiki sanaAnatapatapa Sana huyu Dj
Hayo yenu na maza akoAnanufaika weweee! Hata atukanwe anachokifanya ni biashara nzuri kuliko kuwa DJ
RIP maalimuFreeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
Vipi nimegusa uhusiano wenu? Au ndoa yenu?Hayo yenu na maza ako
Dingi yako na mimiVipi nimegusa uhusiano wenu? Au ndoa yenu?
R.I.P MH SEIF, ulijua kuwanyoosha ccm, izi kelele za mwenezi wa CcmFreeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
Yes! Dua la kumwomba muumba awaelekeze malaika waongeze kuni na petrol ili aungue vizuriAbubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.