Usanii wa Mbowe unazidi ule wa jiwe?š¤£š¤£Siasa za kipumbavu hizi za kucheza na dini.
Pia alimwombea maalim kitu gani?mtu akishakufa amekufa. Mbowe aende akawaelimishe wapemba mambo ya katiba na umuhimu wake. Siasa za usanii sanii hazifai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usanii wa Mbowe unazidi ule wa jiwe?š¤£š¤£Siasa za kipumbavu hizi za kucheza na dini.
Pia alimwombea maalim kitu gani?mtu akishakufa amekufa. Mbowe aende akawaelimishe wapemba mambo ya katiba na umuhimu wake. Siasa za usanii sanii hazifai.
Chadema ni chama makini huwa hakichapishi nakala moja ta mgombeaTL awe makini maana Mwamba anatengeneza njia yake 2025 anaingia kilingeni...yeye aendelee kukaa belgium tu..2025 tutakuwa na wagombea wawili kutoka upinzani FM kutoka CDM na TL ACT wazalendo na bila TL wakati huo ataitwa msaliti na makamanda...FM anajua sana kuicheza hii game na kuwaliwaza mabosi zake...
Kwamba huwezi enda tembelea kaburi lake mpaka ujiite Abubakar? Kweli?tuwe serious kidogo. But pia alikuwa anamwombea nini na kwa nani? Niambie Mbowe amesilimu?Ukijua utamaduni wa watu mahala Fulani ni heshima tosha.
Were unaona siasa zakipumbavu
Siasa za Tanzania ni za Kisanii sanii tu.Usanii wa Mbowe unazidi ule wa jiwe?š¤£š¤£
Nataka kujua maana ya 'Abubakar' kwa imani ya Maalim Seif R.I.P
Mbowe ameshawahi kumtukana nani?Na juzi hapa walikuwa wanamtukana hasa baada ya kukutana na magufuli Kule chatto wanasiasa ni watu wanafiki sana
Exquisite. Excellent. Very good. Beautiful and handsome. "Endelea na mapambano Kamanda".Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
Maalim seif alipotembelea chato alipewa jina yohana hamkusema, Aboubakar mnasema.Taarifa yako itafanyiwa kazi
Bado anauota ubunge wa hai.Anatapatapa Sana huyu Dj
Kakudanganya Nani? Muulize mzee mdee akupe data.CHADEMA haipokei ruzuku
Mdee hayuko chadema , alishatimuliwaKakudanganya Nani? Muulize mzee mdee akupe data.
HakikaMbowe hana visasi kama hayati ndiyo maana wanamtukana lakini yupo kimya sn
SeenHakika