Abubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Hali ya hewa hairuhusu kwenda kwa helcopeter chato.source mamlaka ya hali ya hewa.Abubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Hali ya hewa hairuhusu kwenda kwa helcopeter chato.source mamlaka ya hali ya hewa.Abubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Ni Rafiki mkubwa wa mtume Muhammad..Nataka kujua maana ya 'Abubakar' kwa imani ya Maalim Seif R.I.P
Hahhaa hatuombei Masheyani bali tunayakemeaAbubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Ameutumia muda wake wote kupambania hakiSafi sana CDM, Maalim alikuwa mwana mapinduzi halisi...
Heshima ya Maalim Seif iko wazi. Hata kama alijikwaa mahali fulani. But he is clean.Na juzi hapa walikuwa wanamtukana hasa baada ya kukutana na magufuli Kule chatto wanasiasa ni watu wanafiki sana
Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
Ukijua utamaduni wa watu mahala Fulani ni heshima tosha.Siasa za kipumbavu hizi za kucheza na dini.
Pia alimwombea maalim kitu gani?mtu akishakufa amekufa. Mbowe aende akawaelimishe wapemba mambo ya katiba na umuhimu wake. Siasa za usanii sanii hazifai.
Baba wa BakariAbubakar
usihangaike na wajingaUkijua utamaduni wa watu mahala Fulani ni heshima tosha.
Were unaona siasa zakipumbavu
Nitajie faida 3 tu za uongo ulizopata tangu uanze kuutendaTL awe makini maana Mwamba anatengeneza njia yake 2025 anaingia kilingeni...yeye aendelee kukaa belgium tu..2025 tutakuwa na wagombea wawili kutoka upinzani FM kutoka CDM na TL ACT wazalendo na bila TL wakati huo ataitwa msaliti na makamanda...FM anajua sana kuicheza hii game na kuwaliwaza mabosi zake...
duuh,ruzuku inatafutiwa sababu ya kutafunwa tu !!!Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628
CHADEMA haipokei ruzukuduuh,ruzuku inatafutiwa sababu ya kutafunwa tu !!!
Nitajie faida 3 tu za uongo ulizopata tangu uanze kuutenda
Wewe ni mtu duni , weka ushahidi wa ruzuku iliyopata Chademastay tuned, pole sana..
vipi wabunge Covid 19, mmeshafungua kesi mahakamani kupinga uwepo wao bungeni?..
tunaomba report ya transactions zote za chama chetu hasa deposit kuanzia Dec 2020 to date...ni transparency tu kwa wanachama na wapenzi wetu kuwaonyesha tunasimamia haki na uwazi...
Wakati ni jambazi na tapeli wa mjini! Ahahahapo tayari kageuka muislam safi anapiga dua nzito! Siasa na sanaa
Kwani Magu anasemaje huko motoniAbubakar Mbowe akapige dua nzito na kule Chato kwa mpendwa wetu.
Hii picha ni ya lini? Hii for sure ni ya zamani kama photosshop za Nassari, na haijulikani ni wapi. Kama ni Pemba utatafuta wanawake ba makaburi na wanaume weeeee mpaka utachoka, huoni. Na hapa utatafuta weeeee kumtafuta Nguli Freeman humuoni...Freeman Mbowe ambaye yuko kwenye kampeni za operesheni haki Mikoa ya Pemba , Leo ametembelea mahali ulipohifadhiwa mwili wa Nguli wa siasa za Zanzibar , Jabali Maalim Seif.
Mh Mbowe ambaye amepewa jina jipya la ABUBAKAR na sasa anaitwa ABUBAKAR MBOWE ametumia fursa hiyo kumuombea dua njema na msamaha kwa Mungu Maalim Seif aliyefariki miezi kadhaa iliyopita.
View attachment 1843628