Ukiiwaambia hivyo wanaanza kurusha maneno. Bongolalas are funny people.Achana na hawa vinyangarika bendera fuata upepo ambao wanaunga mkono Somalia kwenye ndoto zao za mchana. Kisheria maamuzi ya mahakama kama ICJ kuhusu mipaka baharini huwa yanageuka na kuwa 'case law' baada ya kesi kuhitimishwa. Yaani maamuzi hayo yatakuwa sheria kivyake na yanaweza yakatumika hapo baadaye kuvuruga mipaka yote ya jadi, kutoka Cairo hadi Durban.
😀 😀 😀 Bongolalas self imagined might.Unfortunately Nyerere alishaona mbali. Pemba is a zanzibar island, in the United Republic of Tanzania.
Mkiigusa hiyo tunaingia hadi nairobi, hatusubirii hiyo mahakama gani sijui, iseme nini.
Sheria ni msumeno babaa! Si mambo na Independence hapa. Ukikata mbele pia nyuma vilevile 🙃keep dreaming! when did Kenya get independence? when did Kenya bought Lamu and Mombasa from Zanzibar Sultanate?
Naona Wasomali wanawatia kiwewe!Sheria ni msumeno babaa! Si mambo na Independence hapa. Ukikata mbele pia nyuma vilevile 🙃
Naona Kenya inakutia kiwewe pia. Support us ama you lose your Pemba.naona Wasomali wanawatia kiwewe!
yaani mchukue Kisiwa modern namna hii?Naona Kenya inakutia kiwewe pia. Support us ama you lose your Pemba.
Pemba tutapafanya poa ata zaidi 😉yaani mchukue Kisiwa modern namna hii?
Kenyas ClaimView attachment 1255840
Pemba tutapafanya poa ata zaidi 😉
Toka Misri hadi Afrika Kusini kila kitu kinageuzwa!
Vipi Kibera mmeshapafanya poa?!Pemba tutapafanya poa ata zaidi í ½í¸
Toka Misri hadi Afrika Kusini kila kitu kinageuzwa!