Kwanza hapo pa Kilimanjaro Niko sure wakaazi wa pande Ya Tanzania watafurahi Sana there won't be much struggle there. Pemba pia watafurahi kuitoka jumuiya ya Umasikini ya Tanzania.Uwezo wenu kivipi Braza, mambo kama haya hayahitaji ubishi. Tunasubiri uamuzi wa ICJ. Na kama itakubalia Somalia, basi Pemba yetu.
Kuna tetesi kuwa, Kilimanjaro pia ni sehemu ya Kenya kisheria.
Mwasiti ndio jina.Ni mwaswast naye ni manzi
hayo unayo yasema unajua ya kuwa hayawezekaniki hata kisheria za ICJ ss sijui labda ww una ICJ yenu hapo kenya, yaani mkorofishane na somalia then maamuzi ya kesi moja ndio ya overpower hata mipaka ya nchi zingineUwezo wenu kivipi Braza, mambo kama haya hayahitaji ubishi. Tunasubiri uamuzi wa ICJ. Na kama itakubalia Somalia, basi Pemba yetu.
Kuna tetesi kuwa, Kilimanjaro pia ni sehemu ya Kenya kisheria.
Shida
You must be affected by alcohol to the extent of losing control
Kumbe unajijua yupo manzi mwezio anaitwa injinia leviMwasiti ndio jina.
Tunakuja kuichukua Pemba Kama Somalia wataishinda Kenya na hamuwezi tuzuia hata mkeshe kwenye mazoezi ya kivita.Kumbe unajijua yupo manzi mwezio anaitwa injinia levi
Umeongea kama General samson mwathethe au kama mrembo mwasit?Tunakuja kuichukua Pemba Kama Somalia wataishinda Kenya na hamuwezi tuzuia hata mkeshe kwenye mazoezi ya kivita.
Mrembo mwasiti akiwafinya JWTZ kwa mak*nde na kuingia Hadi Pemba kifua mbele Tena wazi na kuinyakulia Kenya kisiwa Cha Pemba.
Mombasa tutaichukua ni sehemu ya Tanzania Ila tukiichukua kitu cha kwanza ni kuvunja slum zote mia 190 hadi hiyo ya Bangladesh slum uliyopi watz hatutaki ujinga wa slumTunakuja kuichukua Pemba Kama Somalia wataishinda Kenya na hamuwezi tuzuia hata mkeshe kwenye mazoezi ya kivita.
Tunakuja kuichukua Pemba Kama Somalia wataishinda Kenya na hamuwezi tuzuia hata mkeshe kwenye mazoezi ya kivita.
Mrembo mwasiti akiwafinya JWTZ kwa mak*nde na kuingia Hadi Pemba kifua mbele Tena wazi na kuinyakulia Kenya kisiwa Cha Pemba.
Mwasiti ndio jina.