Wamagharibi wenyewe wameanzisha sera za kuhimiza watu wazaliane. Huyu hajui chochote.yani mwanamke ana watoto wanne wewe unaona tatizo? mbona munaathirika vibaya na umgaharibi kiasi hicho wakuu, mimi nahisi wewe ndio wakusikitiwa na kuonewa huruma. alafu ni mwanamme kabisa dah
Lakini mkuu, Hao watoto waliofatana sana wanakuwa na afya njema au afya ziko migogoro?View attachment 3119663
Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.
Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.
Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.
Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
View attachment 3119664
Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.
Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.
Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.
Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.
Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.
Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango
Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa
Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.
Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Hali ni mbaya zaidi Iringa, vitoto vya 15 to 16yrs karibu vyote vimezaaHali hii ipo hata Unguja vijijini na bara vijijini
Shida ipo katika Matunzo ya Watoto kutokana na hali ngumu za MaishaKama wanaouwezo wa kuzaa wala hakuna shida yoyote.
Tatizo sio Kuzaa, tatizo hali ya Uchumi kisiwani Pemba ni ngumu sana huyo Mwenye Watoto Wanne hawana Matunzo kabisa
SULUHISHO:View attachment 3119663
Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.
Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.
Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.
Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
View attachment 3119664
Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.
Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.
Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.
Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.
Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.
Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango
Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa
Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.
Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Jamaa wanawaza kuzaliana tu, wakiamini idadi ya watoto ndio utajiri.View attachment 3119663
Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.
Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.
Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.
Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
View attachment 3119664
Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.
Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.
Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.
Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.
Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.
Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango
Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa
Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.
Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Mbona sioni shida ndugu mdau, kwani wenyewe wamelalamika?View attachment 3119663
Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.
Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.
Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.
Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
View attachment 3119664
Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.
Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.
Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.
Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.
Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.
Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango
Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa
Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.
Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666